Ameanza kupinga tangu akiwa bungeni acha porojoUko sahihi mjinga yeye ns Lisu lini waliwahi nyoosha mkono bungeni kupinga posho na mishahara mikubwa wanayolipwa wabunge bila kodi mikubwa kuliko wafanyakazi wa serikali,walimu nk lini?
Heche mnafiki mkubwa waandishi wa habari wamtafute wamkalishe kitimoto mnafiki huyo
Alipokuwa akipokea hakujua kuna walimu wanalipwa laki nne? Ambayo kwake ni posho ya siku moja tu?
Kwa nini hakupiga yowe au kugoma kupokea?
Soma tena uelewe jamaa anachomaanishaWewe sio CCM hakuna mwanachama hata mmoja mwenye kadi ya tangu 2000
Zilishabadlishwa hakuna hata mwanachama mmoja kadi yake inasoma hiyo miaka
Moja wapo ya ahadi ya mwana TANU ni "Nitasema ukweli Daima,fitina kwangu mwiko" na Leo Nitasema ukweli kama mwanaCCM unafiki sitaki.
Bwana Heche ameonesha kubeza posho ya 400000 walizokuwa wanalipwa wabunge ni kubwa. Sipo kwa lengo la kupinga au kukubali posho hizi ila nipo kuufichua unafiki wa Heche
Kipindi chote Cha ubunge wake hakuwahi kukosoa posho hizo na zaidi nafikiri alikuwa anatamani ziongezwe ila Leo kwa kuwa hapati posho hizo anasema ni kubwa. Huu ni unafiki na fitina kubwa kama mwanaCCM nimeahidi kuupinga.
Heche hajasema kama aliwahi kurudisha posho hizo kwa katibu wa bunge kuupinga ni kubwa. Huu ni unafiki inaonesha kesho akirudi bungeni atazifurahia.
Heche hajasema kuwa hata sasa anaweza kuzirudisha kwa namna nyingine hata kwa jamii kama kujenga hospitali, kukaa kwake kimya kwenye hili kunaeleza ni maneno matupu bila nia ya kweli. Huu ni unafiki
Heche haelezi kwamba posho hizo zinapangwa kisheria na sio kweli wanajilipa ila wanalipwa kwa mujibu wa sheria. Kujua sheria lakini kufikiri unaweza kuipotosha ni unafiki.
Huu ndio unafiki wa Heche ambao Mimi kama mwanaCCM nitaupinga kwa kusema fitina kwangu mwiko.
Pia soma > Pre GE2025 - John Heche: Mbunge analipwa Milioni 20 kwa mwezi na posho ya laki 6 kwa siku. Nchi hii inaibiwa sana!
Uelewa wako mdogo sana mkuu. Alichokosea heche pale ni nini? Speaker aliyefukuzwa ndugai alisema serikali inakopa sana? Siyo kweli? Mbona hajasema alipokuwa speaker? Jk alishawahi sema watu huko ccm hawaachiani hata glass za maji! Siyo kweli? Mbona hakuyatamka hayo alipokuwwa mkt!?Wewe sio CCM hakuna mwanachama hata mmoja mwenye kadi ya tangu 2000
Zilishabadlishwa hakuna hata mwanachama mmoja kadi yake inasoma hiyo miaka
Wote wachumia tumboni,hypocrite,Uko sahihi mjinga yeye ns Lisu lini waliwahi nyoosha mkono bungeni kupinga posho na mishahara mikubwa wanayolipwa wabunge bila kodi mikubwa kuliko wafanyakazi wa serikali,walimu nk lini?
Heche mnafiki mkubwa waandishi wa habari wamtafute wamkalishe kitimoto mnafiki huyo
Alipokuwa akipokea hakujua kuna walimu wanalipwa laki nne? Ambayo kwake ni posho ya siku moja tu?
Kwa nini hakupiga yowe au kugoma kupokea?
Watu mna argument za kitoto unajua eeh? Sasa Heche akirudisha posho zake ndio zitainua mishahara ya walimu?Heche hajasema kama aliwahi kurudisha posho hizo kwa katibu wa bunge kuupinga ni kubwa. Huu ni unafiki inaonesha kesho akirudi bungeni atazifurahia.
Moja wapo ya ahadi ya mwana TANU ni "Nitasema ukweli Daima,fitina kwangu mwiko" na Leo Nitasema ukweli kama mwanaCCM unafiki sitaki.Moja wapo ya ahadi ya mwana TANU ni "Nitasema ukweli Daima,fitina kwangu mwiko" na Leo Nitasema ukweli kama mwanaCCM unafiki sitaki.
Bwana Heche ameonesha kubeza posho ya 400000 walizokuwa wanalipwa wabunge ni kubwa. Sipo kwa lengo la kupinga au kukubali posho hizi ila nipo kuufichua unafiki wa Heche
Kipindi chote Cha ubunge wake hakuwahi kukosoa posho hizo na zaidi nafikiri alikuwa anatamani ziongezwe ila Leo kwa kuwa hapati posho hizo anasema ni kubwa. Huu ni unafiki na fitina kubwa kama mwanaCCM nimeahidi kuupinga.
Heche hajasema kama aliwahi kurudisha posho hizo kwa katibu wa bunge kuupinga ni kubwa. Huu ni unafiki inaonesha kesho akirudi bungeni atazifurahia.
Heche hajasema kuwa hata sasa anaweza kuzirudisha kwa namna nyingine hata kwa jamii kama kujenga hospitali, kukaa kwake kimya kwenye hili kunaeleza ni maneno matupu bila nia ya kweli. Huu ni unafiki
Heche haelezi kwamba posho hizo zinapangwa kisheria na sio kweli wanajilipa ila wanalipwa kwa mujibu wa sheria. Kujua sheria lakini kufikiri unaweza kuipotosha ni unafiki.
Huu ndio unafiki wa Heche ambao Mimi kama mwanaCCM nitaupinga kwa kusema fitina kwangu mwiko.
Pia soma > Pre GE2025 - John Heche: Mbunge analipwa Milioni 20 kwa mwezi na posho ya laki 6 kwa siku. Nchi hii inaibiwa sana!