Siku hizi Flora Mbasha anaitwa madam Flora

Pole. Huku kwetu Pwani tunasema KILICHOMPATA NA BOKO KITAMPATA
 
Hakujua kama ukiwa na mume heshima? Atatongozwa mpaka na mteja. Siwapendi wanawake wenye tabia kama zake, wanadanganywa kirahisi na wanaweza kukuangamiza mume kabisa, halafu hata hao waliowadanganya baadae huwachoka na kuwashit.
 
Embu jadili vitu vya msingi achana na maisha ya watu, Hivi ni kweli Gwajima anafufua wafu mbona hayo matangazo yamezid kama ni kwel hili suala liangaliwe kwa makin isije kua ni ajabu lingine
mbona yako pia ya watu;
 
wachungaji na manabii wa uongo tutawajua kwa matendo yao
utafikiri mlikuwa wote kitandani anapogegeda wewe ukishikilia mguu. manake kwa jinsi ulivyo na uhakika utafikiri kweli. sasa wakati gwajima anamfanya hivyo, grace mkewe gwajima naye alikuwa anafanya nini. nimejifunza kama sina uhakika na kitu huwa sishabikii
 
Si wanagegedana hata mazabahuni kwa gwajima wakati waumini wamesepa, Ila wakati huo grace anakua nyumbani anapigwa na AC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…