Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Hello!
Mauti iko mlangoni inasubiri mtu atoke imbebe.
Jitahidi kuomba rehema kwa Mungu mara kwa mara.
Epuka dhambi ya ufiraji , epuka uzinzi, epuka dhuluma, epuka ushirikina, epuka kumwaga damu (kuua) ili siku zako ziwe kamili
Dhambi ziko nyingi ila hizo dhambi nilizozitaja hapo juu hufungua milango ya mauti kwa kasi kubwa.
Naandika katika Roho.
Mwenye sikio na asikie, asema Bwana
Mauti iko mlangoni inasubiri mtu atoke imbebe.
Jitahidi kuomba rehema kwa Mungu mara kwa mara.
Epuka dhambi ya ufiraji , epuka uzinzi, epuka dhuluma, epuka ushirikina, epuka kumwaga damu (kuua) ili siku zako ziwe kamili
Dhambi ziko nyingi ila hizo dhambi nilizozitaja hapo juu hufungua milango ya mauti kwa kasi kubwa.
Naandika katika Roho.
Mwenye sikio na asikie, asema Bwana