Siku hizi kifo kiko karibu zaidi ya miaka iliyopita. Epuka dhambi ya uzinzi, ufiraji, dhuluma na uuaji ili usife mapema

Siku hizi kifo kiko karibu zaidi ya miaka iliyopita. Epuka dhambi ya uzinzi, ufiraji, dhuluma na uuaji ili usife mapema

Hello!

Mauti iko mlangoni inasubiri mtu atoke imbebe.

Jitahidi kuomba rehema kwa Mungu mara kwa mara.

Epuka dhambi ya ufiraji , epuka uzinzi, epuka dhuluma, epuka ushirikina, epuka kumwaga damu (kuua) ili siku zako ziwe kamili

Dhambi ziko nyingi ila hizo dhambi nilizozitaja hapo juu hufungua milango ya mauti kwa kasi kubwa.

Naandika katika Roho.

Mwenye sikio na asikie, asema Bwana
Wewe ulikufa zamani au sasa?
 
Yule Agrey punga...kumbe kashaungua...nimeona video yake sehemu anawachamba watu wanaomsema kuwa anakunywa ARV..kasema ukimwi sio ugonjwa wa kumtisha...ameshika kidonge chake...wanaume hayo makalio ni laana...don't go against nature...



As well UZINZI is worst thing the more you do UZINZI the more you attract negative energy

When you hate USHOGA don't forget to abstain UZINZI.

MZINZI na SHOGA wote huishia pabaya sana .
 
Wewe unaona ufiraji Ni Jambo la kawaida?
Ng'ombe wenyewe hawakosei tundu iweje wewe binadamu na degree yako?
Hebu imagine ukijua dada yako anafirwa na mume wake, utawatembelea au utawatenga jumla?
🤣🤣Mbona unakimbilia kufirwa...nikikuonyesha evidence ya ng'ombe kufirwa utakimbilia wapi usiongee vitu usivyovijua bro utaaibika
 
Cha ajabu watu wanaofanya hayo matendo yote uliyotaja ndio Matajiri, wanazidi kuneemeka na afua tele.

Yaani hata wakiugua wanapata huduma first class. Wanakula na kuvaa vizuri.
hata ikiwa hivyo, moto wa milele unawasubiri wasipopata neema ya Toba na kuokoka.

yamfaidia nini mtu akiupata ulimwengu wote na kisha kuukosa uzima wa milele?

Jesus is Lord&Savior
 
🤭 Mtoto,wangu(6) anapenda sana kujifunza ukristo( Kuna Mwalimu wake ana muinsipire') majuzi kaniuliza hivi,Kwa Nini Mungu alimleta shetani aje Duniani kutusumbua ,Si angemmaliza tu huko huko sisi yusipate shida!
shetani yupo ili kumthibitisha Mungu. kwa mfano kama shetani asingeleta maradhi/magonjwa, tusingejua kuwa Mungu ni mponyaji. (Yehova Rafa)

kikubwa zaidi, Shetani yupo ili tuwe na chaguo la kumwabudu yeye ama Mungu. Mungu anatutaka tumwabudu kwa hiyari, sio kwa lazima. Shetani asingekuwepo maana yake ni kwamba tungelazimika kumwabudu Mungu kwa lazima. maana hakuna m'badala. Duniani leo devil worshipers ni weeeeengi wameamua hivyo wakati huo huo wanaivuta oxygen ya Mungu.

upendo wa Mungu ni wa ajabu sana!

JESUS IS LORD&SAVIOR
 
Cha ajabu watu wanaofanya hayo matendo yote uliyotaja ndio Matajiri, wanazidi kuneemeka na afua tele.

Yaani hata wakiugua wanapata huduma first class. Wanakula na kuvaa vizuri.
Kwa kuwa itamfaidia mtu nini kuupata ulimwengu wote, akipata hasara ya nafsi yake?
 
Back
Top Bottom