Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Hayo ni maswali ya kukata tamaa na hasira tu.Punguza au acha hasira ndugu.Huyo bwana kama anayaona hayo anayokataza kwanini asitumie uwezo na nguvu zake zote za kuyafanya yasitokee
Au ni bwana wa kufikirika ?