Siku hizi madalali wa magari wamekuwa wengi sana mtaani

Siku hizi madalali wa magari wamekuwa wengi sana mtaani

jamesjaco

Member
Joined
Jul 27, 2014
Posts
65
Reaction score
34
Siku hizi madalali wamekuwa wengi sana mtaani tena kwa maeneo kama Dar ndio usiseme kila mtu ni dalali. Hii hupelekea tofauti ya bei za magari baina ya dalali mmoja na mwingine.

Unaweza kuta gari moja ila bei ni tofauti kati ya dalali mmoja na mwingne... matokeo yake wale madalali wa uhakika wanakuwa wanazibwa na madalali uchwara!

Leo nataka kujua experience za watu kupitia madalali na changamoto zake na kama unamjua dalali wa uhakika mtaje ili watu wamjue kabisa.
 
Ohoooo,mambo ya hii alikua anatumia mdada, Ac ya kuganga,mara ac kama mafinga au utasikia ukinunua hii gari nunua na makoti kabisa baridi balaa mara mdada kaitwa na mumewe ulaya anaiuza bei ya hasara sasa jichanganye kama hayajakukuta ya sri lanka
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Siku hizi madalali wamekuwa wengi sana mtaani tena kwa maeneo kama Dar ndio usiseme kila mtu ni dalali. Hii hupelekea tofauti ya bei za magari baina ya dalali mmoja na mwingine.

Unaweza kuta gari moja ila bei ni tofauti kati ya dalali mmoja na mwingne... matokeo yake wale madalali wa uhakika wanakuwa wanazibwa na madalali uchwara!

Leo nataka kujua experience za watu kupitia madalali na changamoto zake na kama unamjua dalali wa uhakika mtaje ili watu wamjue kabisa.
Kawaida sana na wengine wanauza wasichokijua
 
Kuweni makini sana mtauziwa gari mbovu kuwahi kutokea watu saiz wanauza gari za zaman wanataka kukamata mpya za namba D
 
Siku hizi madalali wamekuwa wengi sana mtaani tena kwa maeneo kama Dar ndio usiseme kila mtu ni dalali. Hii hupelekea tofauti ya bei za magari baina ya dalali mmoja na mwingine.

Unaweza kuta gari moja ila bei ni tofauti kati ya dalali mmoja na mwingne... matokeo yake wale madalali wa uhakika wanakuwa wanazibwa na madalali uchwara!

Leo nataka kujua experience za watu kupitia madalali na changamoto zake na kama unamjua dalali wa uhakika mtaje ili watu wamjue
Binafsi madalali sio dar tu sikuhizi hata huko ulaya bila dalali hupati kazi
Madalali wanarahisisha upatikanaji wa vitu kwa haraka ttzo sasa imekuwa kazi mwenye gari hata akiwa na uhakika wa kuuza gari yake gari lake basi anatafuta dalali hii ni kutokana wao hawahitaji usumbufu ila madalali wanabeba lawama nyingi na wamelikubali hilo ishuu ya bei ni mununuzi mwenyewe kununua kitu anachokipenda na Kama hujapenda huwezi nunua hata kisiwe kimepita kwa dalali
 
Mkuu madalali wanakukosesha raha ila machawa huna tatizo nao kabisa
 
Back
Top Bottom