Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Amejuaje kama wahubiri ni mashetani na wachawi lo???
Uchawi sio kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amejuaje kama wahubiri ni mashetani na wachawi lo???
Ngoja nikushauri jambo swala la kwenda kweny nyumba za ibada ni imani yako na imani ni msukumo bjnafsi wa ndani ya moyo wako kama ni ivi basi amini imani halisi inatoka ndani ya moyo wako wew na MUNGU wako na si mtu mwingine yeyote ukifanya ivo huto angalia imani ya mtu mwingine …….. mwisho wa siku kila mtu atabeba msalaba wake mwenyeweZamani ukienda sehemu za injili ya Kristo iletayo wokovu ilipokuwa inahubiriwa palikuwa na mvuto na upako kiasi kwamba ulikuwa unataka uendelee kusikiliza.
Shida ilikuwa ni pale walipokuwa wanaita wale waliotayari kuokoka waje mbele ndo vita inaanza ya kukuzuia. Wale waliokuwa wanaishinda ndo walikuwa wanatoka mbele na mtu aliyekuwa anaokoka kwa njia hiyo alikuwa ni mlokole kwelikweli.
Sasa siku hizi ukiwaangalia hao wahubiri kwa mizania ya neno la Mungu unaona chenga tu ni tiamajitiamaji hatakama hiyo huduma itakuja na nguvu za kifedha. Neno la Mungu linalohubiriwa kwanza halina upako wala mvuto wa kumfanya mtu aache shughuri zake kusikiliza.
Kwenye makanisa watu ambao ni vimbelembele kujifanya watumishi kwenye kwaya, uzee wa kanisa, kuhudumia madhabau ukiwaangalia wamepagawa na mapepo ya mizimu ya kwao! Ofcourse huwezi kuwafanyakitu kwasababu wana mdomo na kujihesabia haki sio kawaida.
Hila kwa upande mwingine wanazuia na kusababisha sana watu wakimbie makanisa na mikusanyiko ya neno la Mungu! Kwenye magroup ya WhatsApp ya kiroho wanajifanya kuposti "aya" za Biblia wakati ni mashetani kabisa!
cc: Irene Uwoya, Masanja Mkandamizaji, MC Pilipili, Wasanii wengine walioshindwa maishaZamani ukienda sehemu za injili ya Kristo iletayo wokovu ilipokuwa inahubiriwa palikuwa na mvuto na upako kiasi kwamba ulikuwa unataka uendelee kusikiliza.
Shida ilikuwa ni pale walipokuwa wanaita wale waliotayari kuokoka waje mbele ndo vita inaanza ya kukuzuia. Wale waliokuwa wanaishinda ndo walikuwa wanatoka mbele na mtu aliyekuwa anaokoka kwa njia hiyo alikuwa ni mlokole kwelikweli.
Sasa siku hizi ukiwaangalia hao wahubiri kwa mizania ya neno la Mungu unaona chenga tu ni tiamajitiamaji hatakama hiyo huduma itakuja na nguvu za kifedha. Neno la Mungu linalohubiriwa kwanza halina upako wala mvuto wa kumfanya mtu aache shughuri zake kusikiliza.
Kwenye makanisa watu ambao ni vimbelembele kujifanya watumishi kwenye kwaya, uzee wa kanisa, kuhudumia madhabau ukiwaangalia wamepagawa na mapepo ya mizimu ya kwao! Ofcourse huwezi kuwafanyakitu kwasababu wana mdomo na kujihesabia haki sio kawaida.
Hila kwa upande mwingine wanazuia na kusababisha sana watu wakimbie makanisa na mikusanyiko ya neno la Mungu! Kwenye magroup ya WhatsApp ya kiroho wanajifanya kuposti "aya" za Biblia wakati ni mashetani kabisa!