Siku hizi mashetani na wachawi ndiyo wanaohubiri injili. Injili yao ni kavu haina mvuto

Ngoja nikushauri jambo swala la kwenda kweny nyumba za ibada ni imani yako na imani ni msukumo bjnafsi wa ndani ya moyo wako kama ni ivi basi amini imani halisi inatoka ndani ya moyo wako wew na MUNGU wako na si mtu mwingine yeyote ukifanya ivo huto angalia imani ya mtu mwingine …….. mwisho wa siku kila mtu atabeba msalaba wake mwenyewe
 
cc: Irene Uwoya, Masanja Mkandamizaji, MC Pilipili, Wasanii wengine walioshindwa maisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…