Siku hizi mbona Bunge halifuatiliwi na wananchi, kuna nini nyuma ya pazia?

Siku hizi mbona Bunge halifuatiliwi na wananchi, kuna nini nyuma ya pazia?

Gatabhanya

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2024
Posts
2,644
Reaction score
5,178
Kuanzia 2020 na kurudi nyuma bunge lilikuwa la moto ulikuwa unapita kila sehemu unakuta watu wanasikiliza kwenye radio, wengine wanaangalia kwenye runinga.

Lakini siku hizi hali ni tofauti kabisa watu hawafatilii kwa nini?
 
Kuanzia 2020 na kurudi nyuma bunge lilikuwa la moto ulikuwa unapita kila sehemu unakuta watu wanasikiliza kwenye radio, wengine wanaangalia kwenye runinga.
Lakini siku hizi hali ni tofauti kabisa watu hawafatilii kwa nini?
MwenzaO mmoja apeleke mswaada wa kujadiliwa hali hiyo
 
Back
Top Bottom