Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DP World...Kuanzia 2020 na kurudi nyuma bunge lilikuwa la moto ulikuwa unapita kila sehemu unakuta watu wanasikiliza kwenye radio, wengine wanaangalia kwenye runinga.
Lakini siku hizi hali ni tofauti kabisa watu hawafatilii kwa nini?
Nakumbuka wakina Tundu lisu na halima mdee walikuwa wanatoa hoja nzito kwelikweli.Nakumbuka mim mwenyewe nisiyeipenda siasa nilikua naangalia namna vyama pinzan vikitoa challeng Kwa chama tawala palikua pananoga ila Sasa chama pinzan sijui ni kimoja sijui hakuna yaan hapalet hata msisimko wa kuangalia
Ukiwa busy na smartphone si kuna vitu unafuatilia?! Kwa nini siyo Bungee?Sio bunge tu, vitu vingi sasa vimekuwa outdated kutokana na ujio wa smartphone.
Kila mtu yuko busy na smartphone yake. Hata wewe hapo uko busy na smartphone yako
Kwenye smartphone kuna vitu attractive sana kuliko bunge. Hii si Tanzania tu ni worldwideUkiwa busy na smartphone si kuna vitu unafuatilia?! Kwa nini siyo Bungee?
ule ni mkutano wa kamati kuu ya ccm hatuna bunge la wananchiKuanzia 2020 na kurudi nyuma bunge lilikuwa la moto ulikuwa unapita kila sehemu unakuta watu wanasikiliza kwenye radio, wengine wanaangalia kwenye runinga.
Lakini siku hizi hali ni tofauti kabisa watu hawafatilii kwa nini?
Na ule uzito na heshima ya bunge imepungua tofauti na miaka ya zamani.1.. Bunge la chama kimoja,
2..wabunge wote ni wazee wa ndiyoooo, wengi hawakuchaguliwa (wazee wa kupita bila kupingwa)
3..Na mengine mengi ongezea
Yeah uko sahihi.Nakumbuka mim mwenyewe nisiyeipenda siasa nilikua naangalia namna vyama pinzan vikitoa challeng Kwa chama tawala palikua pananoga ila Sasa chama pinzan sijui ni kimoja sijui hakuna yaan hapalet hata msisimko wa kuangalia
Umeweka na jibu kabisa kwenye hoja ya swali lalo, kuna haja ya kuendeleza mjadala tena?Kuanzia 2020 na kurudi nyuma bunge lilikuwa la moto ulikuwa unapita kila sehemu unakuta watu wanasikiliza kwenye radio, wengine wanaangalia kwenye runinga.
Lakini siku hizi hali ni tofauti kabisa watu hawafatilii kwa nini?
sasa kama wako wenyewe tu wanapashana mipasho laini na kula posho na mishahara minono huku mamilioni ya watnzania hawana hta mlo mmoja kwa siku unategemea waangalie hao walioshiba? maisha yamekuwa mgumu na hakun wakuwasemea hivyo wanahangika kutafuta misosi kwa familia zao ili wasije kufa njaa, pale hkuna Bunge ni kikundi cha walaji waliovimbiwa.Kuanzia 2020 na kurudi nyuma bunge lilikuwa la moto ulikuwa unapita kila sehemu unakuta watu wanasikiliza kwenye radio, wengine wanaangalia kwenye runinga.
Lakini siku hizi hali ni tofauti kabisa watu hawafatilii kwa nini?