Siku hizi mjini wimbi kubwa la watu wenye pesa ni vijana. Tupeni siri mnatoa wapi hizo pesa?

Siku hizi mjini wimbi kubwa la watu wenye pesa ni vijana. Tupeni siri mnatoa wapi hizo pesa?

Strong25

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2021
Posts
394
Reaction score
834
Mpaka unasoma uzi huu natumaini uko njema kiafya.

Siku hizi mjini wimbi kubwa lawatu wenye pesa nivijana. Vijana tupeni siri mnatoa wapi hizo pesa?

Sawa unaduka ila mbona umepanga kadeti chache tu alafu nje umepaki BM?

Yani unalipa kodi zaidi ya 1Milioni, umeweka mfanyakazi mzigo uliouweka ndani nimchache sana. Hata masaa zaidi ya manne hakuna mteja hata mmoja aliekuja kununua ila unamaisha safi kabisa

Tupeni siri nasisi vichwa maji tuamke usingizini
 
Hakuna mtu atakwambia ukweli, pesa yake anaitoa wapi. Zaidi utadanganywa tu.
Watu wana mambo mengi sana, wewe tafuta yako Mkuu. Ukisubiria uambiwe utakesha.

Ukiambiwa familia ina migodi, utatafuta mgodi nawewe? Familia ina vituo vya mafuta mikoa yote, je utafanya hivyo?
Nashukuru pesa za wengine hazinisumbui wala kuninyima usingizi. Naishi maisha yangu...
 
Hakuna mtu atakwambia ukweli, pesa yake anaitoa wapi. Zaidi utadanganywa tu.
Watu wana mambo mengi sana, wewe tafuta yako Mkuu. Ukisubiria uambiwe utakesha.

Ukiambiwa familia ina migodi, utatafuta mgodi nawewe? Familia ina vituo vya mafuta mikoa yote, je utafanya hivyo?
Nashukuru pesa za wengine hazinisumbui wala kuninyima usingizi. Naishi maisha yangu...
🤣
 
usijindangaje mkoa kama dar vijana ni mafukara wa kutupwa wazee wa 40+ kidogo kwa mbaaaali ndo wanamaisha .
 
Hakuna mtu atakwambia ukweli, pesa yake anaitoa wapi. Zaidi utadanganywa tu.
Watu wana mambo mengi sana, wewe tafuta yako Mkuu. Ukisubiria uambiwe utakesha.

Ukiambiwa familia ina migodi, utatafuta mgodi nawewe? Familia ina vituo vya mafuta mikoa yote, je utafanya hivyo?
Nashukuru pesa za wengine hazinisumbui wala kuninyima usingizi. Naishi maisha yangu...
Asipoelewa basi hatuna la kumsaidia
 
Huku kkoo wanaporomosha mijengoo tuu..nchi imefungukaa walahii magari namba E inaakribia kufika mwishooo Vieiteee sio gari za serikali tena.
 
Back
Top Bottom