Siku hizi mjini wimbi kubwa la watu wenye pesa ni vijana. Tupeni siri mnatoa wapi hizo pesa?

Siku hizi mjini wimbi kubwa la watu wenye pesa ni vijana. Tupeni siri mnatoa wapi hizo pesa?

Hakuna mtu atakwambia ukweli, pesa yake anaitoa wapi. Zaidi utadanganywa tu.
Watu wana mambo mengi sana, wewe tafuta yako Mkuu. Ukisubiria uambiwe utakesha.

Ukiambiwa familia ina migodi, utatafuta mgodi nawewe? Familia ina vituo vya mafuta mikoa yote, je utafanya hivyo?
Nashukuru pesa za wengine hazinisumbui wala kuninyima usingizi. Naishi maisha yangu...
Hii ndio maana halisi ya akili kubwa
 
jiunge na grup zetuu palee telegram tukufundishe uwekezaji ujanja wa mjinii mazee....wazee wa crypto tunavuta mpunga kimya kimya tuuu huku wengi wakimlilia mama kitaa😀.. mfanoo tu mdogo ethereum, ripple na solona zinaperform vizuri mno sokoniii!!....tunacheka tu wakimcheka mwenzetu chief godlove eti sijui illuminati nonsense! kwenyue maisha yako ,wanasema work smart!!dont work hard..
 
Usijidanganye na vijipesa vya jagmaster, wazee ndo Wana mpunga nchi hii
 
Mpaka unasoma uzi huu natumaini uko njema kiafya

Siku hizi mjini wimbi kubwa lawatu wenye pesa nivijana. Vijana tupeni siri mnatoa wapi hizo pesa..?

Sawa unaduka ila mbona umepanga kadeti chache tu alafu nje umepaki BM..?

Yani unalipa kodi zaidi ya 1Milioni, umeweka mfanyakazi mzigo uliouweka ndani nimchache sana. Hata masaa zaidi ya manne hakuna mteja hata mmoja aliekuja kununua ila unamaisha safi kabisa

Tupeni siri nasisi vichwa maji tuamke usingizini
Mbona kama tayari una majibu yako na ka wivu kwa nbaliii.
 
Huku kkoo wanaporomosha mijengoo tuu..nchi imefungukaa walahii magari namba E inaakribia kufika mwishooo Vieiteee sio gari za serikali tena.
V8 hizo Lambo,G wagon,new morden defender ni za kutosha.
 
Mkuu majibu tayari unayo kichwani sema unahitaji wakukusapoti
Anyways wale wanauza ngada na sembe
 
Back
Top Bottom