Siku hizi mjini wimbi kubwa la watu wenye pesa ni vijana. Tupeni siri mnatoa wapi hizo pesa?

Hii ndio maana halisi ya akili kubwa
 
jiunge na grup zetuu palee telegram tukufundishe uwekezaji ujanja wa mjinii mazee....wazee wa crypto tunavuta mpunga kimya kimya tuuu huku wengi wakimlilia mama kitaa😀.. mfanoo tu mdogo ethereum, ripple na solona zinaperform vizuri mno sokoniii!!....tunacheka tu wakimcheka mwenzetu chief godlove eti sijui illuminati nonsense! kwenyue maisha yako ,wanasema work smart!!dont work hard..
 
Usijidanganye na vijipesa vya jagmaster, wazee ndo Wana mpunga nchi hii
 
Mbona kama tayari una majibu yako na ka wivu kwa nbaliii.
 
Huku kkoo wanaporomosha mijengoo tuu..nchi imefungukaa walahii magari namba E inaakribia kufika mwishooo Vieiteee sio gari za serikali tena.
V8 hizo Lambo,G wagon,new morden defender ni za kutosha.
 
Mkuu majibu tayari unayo kichwani sema unahitaji wakukusapoti
Anyways wale wanauza ngada na sembe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…