Siku hizi ni kama vile hakuna maajabu tena kwenye kufanya mapenzi

Siku hizi ni kama vile hakuna maajabu tena kwenye kufanya mapenzi

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Kukurukakara zimepotea kabisaa. hakuna vionjo vipya wala vya zamani tena, hakuna amsha amsha, na kabisaa hakuna maajabu kunako 6kwa6.

Cha kushangaza zaidi ni kwamba, wahusika huenda ndio kwanza wachumba tu, au ni mchepuko.

kulikoni ngoma nzito namna hiyo nyakati hizi? vibe hakuna kabisaa?

Game imepooooaa mno.

nini maoni yako ndugu mdau?

Kongole nyingi sana Dar Es Salaam Young Africans, kwa kuinyandua Simba bao moja la uchungu sana hadharini mchana kweupe leo, pale lupaso 🐒
 
umeshatiana na wangapi kwa hiyo tafiti yako? ukute umekumbana na wanawake wenye vikoba, brac, asa, kausha dam, mwendokasi, kikwapa, chupi mkononi nanbuti la jeshi ukatarajia viuno vya paka chongo ukakuta na kitu gogo.
 
umeshatiana na wangapi kwa hiyo tafiti yako? ukute umekumbana na wanawake wenye vikoba, brac, asa, kausha dam, mwendokasi, kikwapa, chupi mkononi nanbuti la jeshi ukatarajia viuno vya paka chongo ukakuta na kitu gogo.
sifahamu hata nilijua kivyovyote vile itakua kama vita huko Mashariki yakati ghaza na TelAviv au kama game ya simba na yanga hakuna kutegemea 🐒
 
Kukurukakara zimepotea kabisaa. hakuna vionjo vipya wala vya zamani tena, hakuna amsha amsha, na kabisaa hakuna maajabu kunako 6kwa6.

Cha kushangaza zaidi ni kwamba, wahusika huenda ndio kwanza wachumba tu, au ni mchepuko.

kulikoni ngoma nzito namna hiyo nyakati hizi? vibe hakuna kabisaa?

Game imepooooaa mno.

nini maoni yako ndugu mdau?

Kongole nyingi sana Dar Es Salaam Young Africans, kwa kuinyandua Simba bao moja la uchungu sana hadharini mchana kweupe leo, pale lupaso 🐒
Kwa bahati mbaya kwenye uanzishaji mijadala ya maisha ya mapenzi, mtu mmoja anakuwa anatumia uzoefu wake kutolea maamuzi kwa jamii nzima.

Hadi wakati mwingine huwa najikuta nahisi huenda huyo mtu huwa hujizungumzia mwenyewe kwa code kwenye huo mjadala aliouanzisha.

Ova
 
Siku hizi huwezi Kuta jipya, maana wanaume wenyewe sahizi hawajalala wapo tu wanachat badala yakwenda kulala sasa vitu vipya na vya ajabu vitatoka wapi? Wapo na wao kama wanawake kwenye simu umbeya, zamani ilikuwa mke akichelewa kwenda kulala mme anamfuata unafanya nini huku anafunga milango, sasa siku hizi mwanaume anakalisha komwe lake kama la bibi yake anachart tu.
 
Kwa bahati mbaya kwenye uanzishaji mijadala ya maisha ya mapenzi, mtu mmoja anakuwa anatumia uzoefu wake kutolea maamuzi kwa jamii nzima.

Hadi wakati mwingine huwa najikuta nahisi huenda huyo mtu huwa hujizungumzia mwenyewe kwa code kwenye huo mjadala aliouanzisha.

Ova
Gentleman,
na hiyo ndiyo hasa asili ya sanaa ya uandishi,

Inaweza kua muhisika ni wewe mwenyewe na hiyo inakua true story, na ukawakilisha jamii nzima, lakini pia muhusika anaweza kua wewe msomaji, ndugu, jamaa au rafiki katika jamii inayokuzunguka..

hivyo basi,
jambo la muhimu zaidi ni kuepuka kubabaika na muhusika badala yake kujikita zaidi ya kwenye content ikiwa ume exipirience hali hiyo,

la hujakumbana nayo unajikunyata kimya na itapendeza zaidi gentleman 🐒 🐒
 
Usigeneralize, nazungumzia wewe ushazeeka ni muda wako wa kwenda kusinzia kwenye viti bungeni.
we we we we,
gentleman?

hoja na mambo ni mengi sana,
unalalaje kwa mfano?

ni hakuna kulala kwenye game hakuna kulala mjengoni. Ni mwendo wa kukuru kakara hoja juu ya hoja mpka kieleweke...

unajua raha ya kua kiongozi ni pamoja na mwananchi apate maendeleo kijamii, kisiasa na kiuchumi kitaifa au kimataifa 🐒
 
Wengine miaka 40 gari imeshazima, mapya yatoke wapi kelele tu na umbeya ,

Ngoja nikalale
40 tu na mnara haushiki network?mbona mapema sana ndrugu zango wakati life begin at 50? dah 🐒
 
Sasa wewe unafuata makalio ambayo yanamilikiwa na vibonge, kibonge kukurukakara atazitoa wapi?
 
Siku hizi huwezi Kuta jipya, maana wanaume wenyewe sahizi hawajalala wapo tu wanachat badala yakwenda kulala sasa vitu vipya na vya ajabu vitatoka wapi? Wapo na wao kama wanawake kwenye simu umbeya, zamani ilikuwa mke akichelewa kwenda kulala mme anamfuata unafanya nini huku anafunga milango, sasa siku hizi mwanaume anakalisha komwe lake kama la bibi yake anachart tu.
alaaaa alaaa alaaaa kumbe,

au ndiyo yale ya mke anachati na hawara yake, anamwambia limume langu leo limelewa subiri kidogo lilale nitatoka 🤣
 
Kukurukakara zimepotea kabisaa. hakuna vionjo vipya wala vya zamani tena, hakuna amsha amsha, na kabisaa hakuna maajabu kunako 6kwa6.

Cha kushangaza zaidi ni kwamba, wahusika huenda ndio kwanza wachumba tu, au ni mchepuko.

kulikoni ngoma nzito namna hiyo nyakati hizi? vibe hakuna kabisaa?

Game imepooooaa mno.

nini maoni yako ndugu mdau?

Kongole nyingi sana Dar Es Salaam Young Africans, kwa kuinyandua Simba bao moja la uchungu sana hadharini mchana kweupe leo, pale lupaso 🐒
Ndo maana nasema hilo tendo lifutwe.....
 
Back
Top Bottom