Siku hizi nikinywa tu kidogo, chakaliii mbaya kabisa

Siku hizi nikinywa tu kidogo, chakaliii mbaya kabisa

Hivi punde

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2017
Posts
2,554
Reaction score
8,587
Wakuu.Sijui ni uhenga umewadia. Sijui ni stress au TBL wameongeza ukali.

Siku hizi nikinywa tu bia 10 Castle Lager ,nalewa mbaya sana mpk watu wananishangaa. Mpk Kuna wakati nashindwa kudrive Kluger V yangu.

Mtaalam anaweza akanisaidia,hii situation inasababishwa na nini?
 
Aisee! Tu-bia 10 tu? Umekuwa "kichwa-maji" mkuu.Inabidi ufanyiwe check up ya dharula. Ni dhahma kubwa sana kwa mustakabali wa ustawi wa kitambi chako na utetereshaji wa pato la taifa.
 
Liver imeanza kufeli we endelea kupombeka tu
 
Wakuu.Sijui ni uhenga umewadia. Sijui ni stress au TBL wameongeza ukali.

Siku hizi nikinywa tu bia 10 Castle Lager ,nalewa mbaya sana mpk watu wananishangaa. Mpk Kuna wakati nashindwa kudrive Kluger V yangu.

Mtaalam anaweza akanisaidia,hii situation inasababishwa na nini?
chunguza vizuri huenda return valve imezibuliwa au kizibo cha tanki la mafuta kimefunguliwa, yaani kote waziwazi hivyo mafuta huisha mapema
 
Taifa linateketea kwa kukosa maarifa

“Start where you are. Use what you have. Do what you can.”

 
Acha kutuzugaa..wewe una pesa ya kutosha kununua zaid ya hapo..zaidi ya hapo kujifanya upo chakalii..ila umejitahid kuturubuni kwa coolgarl..mmh ili tusikushtukie wese..sio shidaa
Kwa usawa huu..watu wana kunywa bia tatu
Gari ni vits
 
Wakuu.Sijui ni uhenga umewadia. Sijui ni stress au TBL wameongeza ukali.

Siku hizi nikinywa tu bia 10 Castle Lager ,nalewa mbaya sana mpk watu wananishangaa. Mpk Kuna wakati nashindwa kudrive Kluger V yangu.

Mtaalam anaweza akanisaidia,hii situation inasababishwa na nini?
Dah...Kwani Kuluga V yako ni rangi gani?😀😀😀
 
Kuwa Makini na Tigo yako

Bora ushindwe kuidhibiti Gari yako kuliko kushindwa kudhibiti Tigo yako
 
Nimesoma huu uzi kwa makini, neno hadi neno nikagundua kuwa tatizo ni Kluger yako
 
Back
Top Bottom