Siku hizi nimeanza kuvutiwa na wadada wenye vitambi

Siku hizi nimeanza kuvutiwa na wadada wenye vitambi

Mkuu kwa jirani yangu mambo yako tofauti kwanza ana kibaby face, msambwanda wake ni yenteyente ule lainiiii halafu umenyumbulika, ukimuweka mbuzi kagoma vishimo vyote viwili vinahamia kwa juu vinakutazama face to face hujisumbui hata kufungua kitabu, jirani ngozi yake ni nyororoo hata michirizi haina, mapaja yake meupe hayana ule weusi wa msuguano, jirani amebarikiwa mashavu na kiss me kikubwa, jirani muda wote mswafiii ananukiaa, jirani ni Mc mzuri yaani ni fundi haswa wa kutumia microphone [emoji441] jirani ana jicho la huba yaani akikutazama mwili wote unasisimka, uwanjani jirani anajua kulalamika jamani kama vile anaonewa, jirani akishafika juu kabisa kilimani anavibrate utafikiri amepigwa shoti, jirani pia anamiliki bomba lake mwenyewe la dawasco tena koki yake ni nyepesi hautumii hata nguvu nyingi kufungulia bomba.
2022 Acha ujirani uendelee.
Yan hapo mtoto wa watu akijua unamsifia hiv atajiona kitambi chake kimebarikiwa kuliko vitambi vyote duniani
 
Yan hapo mtoto wa watu akijua unamsifia hiv atajiona kitambi chake kimebarikiwa kuliko vitambi vyote duniani
We acha tu mkuu, mwanzo nilikua namdengulia, yaani kila nikikiona kitambi chake stimu zilikua zinakata, nilikua sitaki hata mazoea nae, kumbe ule msemo wa wahenga "usilo lijua ni usiku wa kiza" una maana nzito sana.
 
Demu awe na mahipsi na tako refu kisha kitambi cha kitimoto kile sio swala[emoji3]
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] wewe itakua unamjua jirani yangu kabisa.
Mrefu, mahips kama yote, tako ndio usiseme + na hicho kitambi mbonyeo ndio ananimaliza kabisa.
Hio picha ya hapo juu kabisa ndio inasadifu shepu ya jirani yangu kipenzi.
 
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] wewe itakua unamjua jirani yangu kabisa.
Mrefu, mahips kama yote, tako ndio usiseme + na hicho kitambi mbonyeo ndio ananimaliza kabisa.
Hio picha ya hapo juu kabisa ndio inasadifu shepu ya jirani yangu kipenzi.
Hio ndio mizigo ya Standard Geji ambayo wahuni tunapenda kuishi nayo😅
 
Back
Top Bottom