Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuweni serious hicho sio kitambi..😀KENZY kwenye ulevi huu sidhani kama utimamu utarudi tenaView attachment 2084666
Bado hujawagusa wenye vitambi Sasa..😂Hiyo mitambi unayoizungumzia wewe hapana siitaki, huu uzi unazungumzia vile vitambi vya wastani.
Panda juu uanze kusoma hii thread kwa umakini.
Inabidi mchague shape au bikra mnachotaka ni nini yani??[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna shape ambazo ni hovyo tu kwa kweli hasa kwa soko letu la kimatumbi[emoji28] usione wenzenu wanaenda uturuki kuchongesha soko gumu bila tako hapa mjini!
Unaweza maliza miezi 6 hujaombwa hata namba[emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe una kitambi cha marimba
Eeeh kazi kweli kweli!Tatizo la kitambi kuna staili huwezi kumweka mwanamke ukaenjoy..mfano staili ya job ndugai kaacha kazi Kwa hao watu utaisikia tu
Shape ndio nambar ekiInabidi mchague shape au bikra mnachotaka ni nini yani??[emoji23][emoji23][emoji23]
Maana hamueleweki
Umecheeeka mwenyewe
Watu wenye vitambi tunanyanyapaliwa siyo poa..Umecheeeka mwenyewe
SawaShape ndio nambar eki
Safiii
Huu mwaka uishe tu 😂😂😂Raha ya hivyo vitambi huwa ni wakati wa purukushani za kuisaka mbususu, unakuwa unaifunua hiyo minyama kama vile katibu muhtasi anavyopekua makabrasha kumtafutia boss barua ya uhamisho...
uko na picha tumuone jirani?We acha tu mkuu, mwanzo nilikua namdengulia, yaani kila nikikiona kitambi chake stimu zilikua zinakata, nilikua sitaki hata mazoea nae, kumbe ule msemo wa wahenga "usilo lijua ni usiku wa kiza" una maana nzito sana.