Siku hizi nimeanza kuvutiwa na wadada wenye vitambi

Hujakutana na vitambi wewe..[emoji3]
Hiyo mitambi unayoizungumzia wewe hapana siitaki, huu uzi unazungumzia vile vitambi vya wastani.
Panda juu uanze kusoma hii thread kwa umakini.
 
Kuna shape ambazo ni hovyo tu kwa kweli hasa kwa soko letu la kimatumbi[emoji28] usione wenzenu wanaenda uturuki kuchongesha soko gumu bila tako hapa mjini!

Unaweza maliza miezi 6 hujaombwa hata namba[emoji3]
Inabidi mchague shape au bikra mnachotaka ni nini yani??[emoji23][emoji23][emoji23]

Maana hamueleweki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…