Thread imejaa ulalamishi wa kiswahili swahili. Wewe mwenyewe ukute ndo walewale.
Je, tukikutembelea wewe eneo lako la kazi au biashara vipi unatenda haki???Kwa ulalamishi huu uliouonyesha hapa ni dhahiri wewe pia hiyo kasumba unayo ila hujaishtukia.
Shida ya hii nchi ni tangu mtu anazaliwa mambo ni shagalabagala.Usilalumu sana maana huo ni mfumo ambao watu wamekuzwa nao kwahiyo mabadiliko yatachukua muda mrefu.
Lack of accountabilty inaanzia kwa hao top dog huko bungeni na mawizarani.Kama wao wanataka mambadiliko waanze wao wenyewe.Huko chini watafata ila hayo .atamko na study za zimamoto ni upetevu wa muda.
Katika familia wakubwa wakijiheshimu wadogo hufata mkondo.Vice versa is true.
Je, tukikutembelea wewe eneo lako la kazi au biashara vipi unatenda haki???Kwa ulalamishi huu uliouonyesha hapa ni dhahiri wewe pia hiyo kasumba unayo ila hujaishtukia.
Shida ya hii nchi ni tangu mtu anazaliwa mambo ni shagalabagala.Usilalumu sana maana huo ni mfumo ambao watu wamekuzwa nao kwahiyo mabadiliko yatachukua muda mrefu.
Lack of accountabilty inaanzia kwa hao top dog huko bungeni na mawizarani.Kama wao wanataka mambadiliko waanze wao wenyewe.Huko chini watafata ila hayo .atamko na study za zimamoto ni upetevu wa muda.
Katika familia wakubwa wakijiheshimu wadogo hufata mkondo.Vice versa is true.