jay-millions
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 3,983
- 10,034
Hao shida yao ni ndumba, wana boost biashara zao kwa ulozi, wanaoga dawa sasa ukilala nae ujue unalala na miungu yake pia na shahaw zako zitatumika kumuongezea mvuto huku wewe ukifubaaMbususu ya malaya ndio the safest mbususu ya kugegeda.
Hizi sasa za akina angela rose sophia wale degree holders wa maofisini shida tupu
Sasa shahawa zangu anazipataje wakati watu wakienda kugegeda malaya mara nyingi ni condom kwa kwenda mbele?Hao shida yao ni ndumba, wana boost biashara zao kwa ulozi, wanaoga dawa sasa ukilala nae ujue unalala na miungu yake pia na shahaw zako zitatumika kumuongezea mvuto huku wewe ukifubaa
Baada ya kusex huwa wanamsafisha mteja kwa tissue na kinga hutunzwa huku mteja akisepa na mishe zake hapo ndo hutimiza malengo yaoSasa shahawa zangu anazipataje wakati watu wakienda kugegeda malaya mara nyingi ni condom kwa kwenda mbele?
Unajosokomeza matango utapataje gonno Sasa🤔🤣🤣🤣Makasiriko ya nn
Humu wanawake ni choka mbaya .. wanawake wazuri wako tiktok huko , touku wengi ni above 33 wako nyumbaniHamna huyu sista kuna pic alitupia sehemu kwa nilivyomuona hana hayo madude niamini mimi 😄 mtt light skin muarabu mixer msomali 😋
Huwezi jua anayopitia rohoni mwake...kama ndo hvi basi diamond amgekua asgapotea zaman sana mana katoka na wema, mobeto,DC, tanasha, zari na wengne hatuwajui lakn mbona anadunda kama kawa? ONYO: Mimi sitetei uzinzi mana hata hapa nlipo sina hata demu.
Wengine baada ya Kubobeka ( Kubobea ) na kupata Maambukizi ya STD's hasa Gono tayari Majina ya Dawa za Kujitibia kama Cipro, Doxy na Flygil zimeshakaririka Vichwani mwetu kwa ajili ya Kujitibia haraka.
Kwa kufuata na kuziishi amri kumi za Mungu.Kumurudia mungu
Man, this is deep 👏👏Afya ni muhimu ila kuna kitu cha mhimu zaidi, ngono huua nafsi, yaani ukiwa mzinzi unakua kubwa jinga, nafsi inakufa na akili haikui tena. Utakuta mzee mzinzi anaongea kama teenager, uzinzi ni sumu mbaya sana.
Nafsi ikishakufa kuua mwili ni sekunde tu, hata chupa moja ya pombe inatosha kumalizia kuua mwili. Sema vijana hatufundishwi hivi vitu tunajiendea tu mwisho tunapotea kwenye ramani
[emoji16] [emoji16] [emoji16] Madem wa arusha watakumaliza kila wiki una uti na gonoMimi siku mbili nikaanza ona bolo halikauki, week usaha sijui ule hatari kabisa...unavuja boxer jioni haifai
Shenzi kabisa yule
Hata ngoma piaKwaiyo kaka nitakuwa na UTI
Kwanza ujue uti inapitia wapi kuingia mwilini mwako kama ni njia ya mkojo manake ukila tigo kavu una asilimia kubwa kupata UTI na ukila kavu ukahamisha shimo nyote munakuwa munazipaka mavi njia zenu za haja ndogo kwaiyo munakuwa kwenye asilimia kubwa kupata UTI alfu sasa ukivaa ndomu ukala kote u akuwa unamtengenezea KE uit kama utaamua kutumia kinga chagua shimo moja umalizane nalo mwanzo mwenga. Utakuwa salama kwa 60%Kwa hiyo kama ni TIGO tu pekee hakuna UTI, si ndio?
Ukiwa nje ya game unaona ni jambo jepesi mkuu ila kwenye game pale sasa akili unaipata wapi?Kuuza mechi nako ni old fashioned kusema ule ukweli
99% wanauza mechi🤣Kuuza mechi nako ni old fashioned kusema ule ukweli
😭😭😭😭side kichwa ndo anatoa maamuzi mda huoUkiwa nje ya game unaona ni jambo jepesi mkuu ila kwenye game pale sasa akili unaipata wapi?
Afu sio dili wala nini99% wanauza mechi🤣
Utakuwa kila abiria unazoa tu.Wanawake sijui siku hizi wamekumbwa na nini aisee yaani UTI na magonjwa mengine haya ya zinaa kwao imekuwa kawaida.
Yaani siku hizi ukilala na mwanamke peku bila kutumia kinga basi zikipita siku mbili bila kuona uchafu au kusikia tofauti wakati wa kukojoa basi unamshukuru Mungu.
Wanaume hawa viumbe watatumaliza na mbaya zaidi magonjwa haya wanakaa nayo kwa muda mrefu bila wao kujijua.
Unaenda kwa daktari anakwambia umlete na mwenzako mtibiwe wote, huo muda mimi nautoa wapi doctor..
Unakuta mwanamke mzuri mrembo shepu zuri msafi ananukia lakini jichanganye wewe mtoto wa kiume kutembea nae peku ukitoka salama mshukuru Mungu.
Wanaume wengi tunakutana na hali kama hii ila huwa ni siri yetu na doctor, hatuwaambii nyie wanawake zaidi ya kukuacha kimya kimya.