Mwanamwaiche
JF-Expert Member
- Apr 13, 2022
- 665
- 968
Wanatumika saana, wengine kila siku, wengine hubadili wanaume wawili hadi watatu kila siku, na zama hizi wanaume mabwege sanaSaivi kati ya wanawake 3 basi walau 1 ana harufu mbaya sana ukeni. Ukiingiza mb.oo hlf ukachomoa utakuta mb.oo inatoka na hiyo harufu mbaya kabisa hata paka aliyekufa anasubiri. Sijui ndoizo wanaita PID sijui. Halafu unakuta huyo ni mdada pisi kali tu wakutazamika.
Shida sasa ukiwaambia ukweli ndo hapo mnaanza kubishana na kununiana.
😀😄akaribie kweny chama la wana au cyo....!?Linda afya yako, linda pesa yako, karibu CHAPUTA.
Swax.King G
Hapo kwenye jez yaman u umenichekesha...vitenge ni salama pia ..zipo ped mr price mliman ni za kizaman sana zipo kama vitambaa tu...muda mwingine ua natamani nilete topic iyo watu waache kutumia maped ya kisasa sababu yanaleta fungusAu vile vitenge mnakata kata papuchi inakua salama dada ake
Hata Jez ya man u inafaa
Maneno ya kiutu uzima Sana haya[emoji4][emoji106]Vijana mnaobahatika kusoma hapa jifunzeni, tupo zama za unafiki, watu wanajua njia ila hawakuoneshi sasa kwakuwa unajiongoza uwe na hekima ujifunze kutokana na uzoefu wa mapito yako. Watu wazima wanakuwa wanaona unaelekea shimoni ila hawakwambii wanakuacha upotee wakucheke waseme tulijua. Hakuna wa kukunasua, maisha haya hata ndugu hawana huruma na wewe. Ilifikia kipindi wakikutana demu mgumu wananipasia namba nimle maana nilikuwa sitongozi mara mbili, wanajua kwa mwendo huo sitoboi ila wakawa wananisifia tu nipotee zaidi, kuwa makini sana ukiona unatenda uovu kisha unasifiwa na kupongezwa ujue anguko lako li karibu na ni furaha kwao, usianguke badili gia angani uwashangaze kwa kuwa mtu mkamilifu mwenye maadili yake. Have some manners
Nakazia[emoji4][emoji106]Mbususu ya malaya ndio the safest mbususu ya kugegeda.
Hizi sasa za akina angela rose sophia wale degree holders wa maofisini shida tupu
ha ha ha.....[emoji28]Mwisho unaamua kutulia. Mke anakupiga matukio. Unaenda kuomba ushauri wale uliowaona wanapoteza pesa kwa kutokutulia na mtu mmoja. Haya mambo ni complex.
Kuna ka upepo flan hivi kanakuijia,Umesema kweli. Ukiwa mtu wa wanawake saaana ktk ngono...kuna hali flan ya kutokuogopa, huna aibu, hata kama huna pesa unatongoza demu yyte. Na maranyingi hawakatai. Unasifiwa kumbe kuna nguvu ya ziada inalolifanikisha hilo. Hili nikiliona kwa marafiki wa karibu. Yaani anaweza kuja na demu mkali then anakuomba pesa kidogo anasema hana kabisaa...ila anaujasiri sana. Hawa ndo wale anaweza kwenda na mwanamke gest then akamtoroka yaan Wana ujasiri flan hivi ktk zinaa...haogopi rika, kazi, hadhi, wala undugu
Nakazia,Sasa Kama demu anakaa kwenye Nyumba yenye wapangaji zaidi ya 10, wana-share Choo kimoja unategemea nini hapo Kama sio mambo Kam hayo
Afungue TU kanisa[emoji4]Mimi sipigi NYETO wewe ninawakamua vilivyo hata mkeo akijirengesha namkamua yaan sio mkeo tu hata mama ako akijirengesha napita nae
Nnachopingana na wewe unajichanganya sana kwenye maelezo yako unasema kulala na wanawake wengi ni makosa kisa kuna nafsi na roho
Bado hapo hapo unasema kupiga Punyeto kuna viumbe vinakula shahawa sasa nini ni nini hapo?
Huoni unajichanganya mwenyewe
Ila wewe....Wengine baada ya Kubobeka ( Kubobea ) na kupata Maambukizi ya STD's hasa Gono tayari Majina ya Dawa za Kujitibia kama Cipro, Doxy na Flygil zimeshakaririka Vichwani mwetu kwa ajili ya Kujitibia haraka.
Bora umweleze mtoa mada mkuu.[emoji120]Nawashangaa, UTI inasumbua wanawake wengi hata watoto wa kike wadogo ambao hawajaanza ngono. Na style ya maisha , vyoo vichafu, jinsi ya kujisafisha ukienda haja kubwa. Maji machafu ya kunawia. Kama ni magonjwa ya zinaa sawa lakini UTI haihusiani
Hata UTI ni ugonjwa wa zinaa, ingawa visababishi sio zinaaa pekee yake ndio mana ipoe kwenye kundi la STIs (Sexual Transmitted Infection)Bora umweleze mtoa mada mkuu.[emoji120]
Tatizo ni hilo kwa sasa papuchi ni sawa na kuandikwa tangazo for sale ni soko huria.Vijana wetu wakishauza hawaendi kwwnye vipimo na kwa binti wa kike lutokana na maumbile yake si rahisi kuhisi kwamba ameshakuwa na tatizo huchukua muda mrefu.Kwa mwanaume ni siku mbili unasikia dalili.Hakika jamani inahitajika awareness ya hali ya juu kuondoa tatizo hili.Ngono kwa vijana imekuwa kitu cha kawaida sasa... Haya yote ndo matatizo ya ngono na bado!!