Siku hizi ukitembea na mwanamke zikapita siku mbili mwanaume hujaona chochote kwenye uume unamshukuru Mungu

Huenda sababu wanatumika kinyume na maumbile maana kule nyuma kuna bacteria wanalinda ambao wakikaa pale hawana madhara lakini wakiletwa mbele husababisha U. T. I
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…