Siku hizi ukitembea na mwanamke zikapita siku mbili mwanaume hujaona chochote kwenye uume unamshukuru Mungu

Siku hizi ukitembea na mwanamke zikapita siku mbili mwanaume hujaona chochote kwenye uume unamshukuru Mungu

Atokee mtaalam awatofautishie gono na u.t.i kwa uelewa wng ule usaha unaochafua boxer ule sio uti ni gono.
 
Unaenda kwa daktari anakwambia umlete na mwenzako mtibiwe wote, huo muda mimi nautoa wapi doctor..

Huyo mwingine unakuta yupo Mwanza, wewe upo Dar. Kazi kweli kweli.

Madaktari mnakwama wapi kufikiri nje ya boksi.

Watibuni tu hao wanaojileta, mwingine atapambana huko huko alipo
 
mimi naona mwanamke akiwa msafi sana kule akipasafisha mara kwa mara ndo anapata magonjwa na mafangasi kibao, kule kunajishafisha kwenyewe na kujilinda natural, pia mkipaacha natural kuna kuwa na harufu ya asili na mvuto wa kipekee , wale walioishi na beki tatu nazan watanielewa vzuri.
Kabisa mkuu

Papuchi huwa ina harufu fulani hivi natural kabisa ambayo siyo ya kukeleka ukiisikia kutoka kunako

Kwangu hiyo harufu nikiisikia huwa ina uhusiano mzuri sana na dushe lazima lisimame na kutikisa kichwa mara mbili kuisifia hiyo harufu na mwili huwa unasisimuka
 
Nimekutana na wadada wengi sana wa umri chini ya miaka 20 wanatafuta na kununua dawa(Clotrimazole V cream/pessaries, Miconazole V cream/pessaries, Silver nitrate caustic pencil n.k) kwa ajili ya kujitibia. Kichwani huwa naendelea kusikitika huku nikijisemea mambo yalishabadilika siku hizi.
 
wanawake mnaoruhusu hii tabia bila usafi lazima mafangasi yasiwaishe.
FB_IMG_16625521975390431.jpg
 
Wanawake sijui siku hizi wamekumbwa na nini aisee yaani UTI na magonjwa mengine haya ya zinaa kwao imekuwa kawaida.

Yaani siku hizi ukilala na mwanamke peku bila kutumia kinga basi sikipita siku mbili bila kuona uchafu au kusikia tofauti wakati wa kukojoa basi unamshukuru Mungu.

Wanaume hawa viumbe watatumaliza na mbaya zaidi magonjwa haya wanakaa nayo kwa muda mrefu bila wao kujijua.

Unaenda kwa daktari anakwambia umlete na mwenzako mtibiwe wote, huo muda mimi nautoa wapi doctor..

Unakuta mwanamke mzuri mrembo shepu zuri msafi ananukia lakini jichanganye wewe mtoto wa kiume kutembea nae peku ukitoka salama mshukuru Mungu.

Wanaume wengi tunakutana na hali kama hii ila huwa ni siri yetu na doctor, hatuwaambii nyie wanawake zaidi ya kukuacha kimya kimya.
mkuu kama namfahamu huwa namwambia kabisa ili ajuee ili apunguze shobo hawa viumbe wamenipa UTI ambayo nilikuwa naisikia na nilikuwa sijawahiii kuumwa hata siku moja kwenye maisha yangu.
na siku nilijua UTI ni balaa ni pale nilipo ona uchafu unatoka na boxer kuchafukaa...
watatuuwa hawa watu.
 
Back
Top Bottom