Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Mambo yao waachie wenyewe wewe fanya ishu zako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu 'The Monk' yaan hapo mhusika sio Mimi Ila huyo Mwanamke na mchepuko wake, sasa jaribu kuwaza siku mwenye mke ukigundua rafiki yako ndio anatembea na mkeo utafanya nini?Umeshajiuliza na siku akigundua wewe ulikua unajua kinachoendelea na umekaa kimya itakuaje?
Au ndio umekuja kuanzisha Uzi kutibua mambo?
Hapo sasa [emoji23][emoji23][emoji23]Umejuaje kama mumewe hajui?
Unajuaje kama mume wa huyo dada anafaidia kwa mkewe kuchepuka?
Familia za kiswahili zina mambo mengi.. Pengine unachokiona kikawa tofauti na kilivyo.
Yaani jamaa asijue mkewe kapata wapi gari?..
Uzi ufungwe.Mambo yao waachie wenyewe wewe fanya ishu zako.
Mkuu 'The Monk' yaan hapo mhusika sio Mimi Ila huyo Mwanamke na mchepuko wake, sasa jaribu kuwaza siku mwenye mke ukigundua rafiki yako ndio anatembea na mkeo utafanya nini?
Emu tumuulize Mkulima na Mfugaji anasemajeHuyo mwenye Mke si unafahamiana nae?
Akijua kwamba wewe unajua mkewe ana mchepuko na haujamtahadharisha itakuaje?
Hapo inabidi uzingatie usemi wa Smart911 " mambo Yao waachie wenyewe"
Atakula hata tiGo yakoHabari, wana jukwaa
Ambao hamjaoa msije mkaogopa
Kuna dada mmoja ambae ni best friend wangu na hanifichi kitu na Miongoni mwa watu wangu wa karibu na ni msaada mkubwa kwangu.
Sasa huyu dada ana mumewe ambae yuko nje ya mkoa kikazi, huwa anachukua muda mwingi kazini nyumbani anakuja mara chache anaweza kukaa mpaka miezi mitatu bila kurudi kwa familia yake.
Huyu dada huku aliko ameanzisha mahusiano mapya yaani ni kama ndoa vile. Kilichoniumiza kama mwanaume jamaa amerudi kuja kutazama familia yake.
Sasa leo walikua wanasafari Kuna sehemu wanaenda, yule dada aliamua kunishirikisha kwenye hiyo safari, nilichoshangaa gari iliyotumika kwenye safari ni hiyo gari ya mchepuko, jamaa mwenye mke ndio alikua anaendesha gari ya mume mwenzake bila wasiwasi.
Je, siku akigundua anasalitiwa na mkewe na anaemchapia ni yule aliewapa gari atachukua uamuzi gani kama sio mauwaji, maana hii ni dharau ya hali ya juu
HahahaSasa mkulima ni huyo dada au wewe ni mfugaji.... Kuna mda Una mambo ya ajabu Sana we jamaa
Kilio mwenzake leso
Shida mwenzake mateso
Mie mwenzangu nani😉😉
HahahaAtakula hata tiGo yako
Mtumainiye MunguSina akili za hovyo za kuendesha gari ambayo imekuja na sijui imetoka wapi, ni ya nani na sina kumbukumbu ya kushiriki uwepo wake (aidha kimchango au manunuzi)... Sina mke na mpango wa kuoa hawa wanawake wa kizazi hiki wasio na akili hata kidogo SINA!... Wana akili za kubadili pedi na kuongeza na kupunguza matako na maziwa.
Wewe ulivyoanzaga kutafuniwa huyo mkeo ulijisikiaje?!Am
Kuna mambommengi dunia ya leo inawezekana jamaa keshawekwa kwenye chupa ila uchawi una mwisho hapo ndio balaa kubwa litatokeaKuzalilisha wapi wewe elezea unaona alichofanyiwa jamaa ni haki