Awekwe ndani haraka sana huyoKwa sisi wazee wa zamani yaani vijana wa miaka ya 1978 ambao bado hadi sasa hivi tupo hai nashukuru alhamdulilahi Bakwata.
Tuliona jinsi Idd Amin alivyoingia madarakani kwa mapinduzi na kushangiliwa kama mkombozi wa waganda,baadae alianza kuboronga ile mbaya,viongozi wa dini na wanaharakati walipoanza kumkosoa wakaanza kupotea na kuuawa hovyo.
Uchumi ulizidi kuporomoka ,siku moja Idd Amin akamwita gavana wa benki kuu na kumuuliza kwa nini uchumi unaporomoka hivyo,gavana akajibu ni kwa sababu ya inflation,Idd Amin akasema mkamateni inflation haraka.
Madikteta huwa hawana akili timamu ndo sifa yao kuu.
Hii naikumbuka jamaa akachapisha noti nyingi eti ajaribu kukuza uchumi!!! Maweeeee mh [emoji85] [emoji12]Kwa sisi wazee wa zamani yaani vijana wa miaka ya 1978 ambao bado hadi sasa hivi tupo hai nashukuru alhamdulilahi Bakwata.
Tuliona jinsi Idd Amin alivyoingia madarakani kwa mapinduzi na kushangiliwa kama mkombozi wa waganda,baadae alianza kuboronga ile mbaya,viongozi wa dini na wanaharakati walipoanza kumkosoa wakaanza kupotea na kuuawa hovyo.
Uchumi ulizidi kuporomoka ,siku moja Idd Amin akamwita gavana wa benki kuu na kumuuliza kwa nini uchumi unaporomoka hivyo,gavana akajibu ni kwa sababu ya inflation,Idd Amin akasema mkamateni inflation haraka.
Madikteta huwa hawana akili timamu ndo sifa yao kuu.
dictator hata akiwa profesa anakuwaga empty headed, afu huwa hawajielewi kama hawana akili. idi amin ni mfano tosha.Kwa sisi wazee wa zamani yaani vijana wa miaka ya 1978 ambao bado hadi sasa hivi tupo hai nashukuru alhamdulilahi Bakwata.
Tuliona jinsi Idd Amin alivyoingia madarakani kwa mapinduzi na kushangiliwa kama mkombozi wa waganda,baadae alianza kuboronga ile mbaya,viongozi wa dini na wanaharakati walipoanza kumkosoa wakaanza kupotea na kuuawa hovyo.
Uchumi ulizidi kuporomoka ,siku moja Idd Amin akamwita gavana wa benki kuu na kumuuliza kwa nini uchumi unaporomoka hivyo,gavana akajibu ni kwa sababu ya inflation,Idd Amin akasema mkamateni inflation haraka.
Madikteta huwa hawana akili timamu ndo sifa yao kuu.
si bora hata jiwe, mtu kama idi amin hivi hata ukiweka mhindi wa kuchoma pembeni watu watachagua mhindi kuliko yeye (kama angelikuwa bado mzima enzi hizi), kuna majitu hayana akili alafu huwa yanaamini yana akili.Hapa najua unamsema JIWE....
theory gani ya uchumi sasa hiyo?hahahaahata huyu jamaa nina wasiwasi naye sana,kipindi anaingia alisema watu wameficha pesa ndani eti atachapa pesa mpya.
Kwa sisi wazee wa zamani yaani vijana wa miaka ya 1978 ambao bado hadi sasa hivi tupo hai nashukuru alhamdulilahi Bakwata.
Tuliona jinsi Idd Amin alivyoingia madarakani kwa mapinduzi na kushangiliwa kama mkombozi wa waganda,baadae alianza kuboronga ile mbaya,viongozi wa dini na wanaharakati walipoanza kumkosoa wakaanza kupotea na kuuawa hovyo.
Uchumi ulizidi kuporomoka ,siku moja Idd Amin akamwita gavana wa benki kuu na kumuuliza kwa nini uchumi unaporomoka hivyo,gavana akajibu ni kwa sababu ya inflation,Idd Amin akasema mkamateni inflation haraka.
Madikteta huwa hawana akili timamu ndo sifa yao kuu.
Mobutu SesekoMfano mmoja hautoshi. Ongeza mmoja halafu malizia uchwara.
Umeuelewa ujumbe anaotaka kuufikisha au unataka umri wake. Think twice as much,fella!mmh sina hakika kama wewe nikijana wa zamani kweli...sidhani kulikuwa na tukio hilo...ila Askofu Luwum alishughulikiwa, na wengi wetu tulilaani...
Hahahahaaaa! Haya, nimekubali.Mobutu Seseko
Na bado korosho zinaenda vietnamu zikiwa zina mawe kilo kumi.Chezea daktari wa korosho weweWa kwetu ni daktari wa falsafa ya chemikali za korosho
Kauli ile ndio nilipoanza kuwa na mashaka na uwezo wakehata huyu jamaa nina wasiwasi naye sana,kipindi anaingia alisema watu wameficha pesa ndani eti atachapa pesa mpya.
Kwa sisi wazee wa zamani yaani vijana wa miaka ya 1978 ambao bado hadi sasa hivi tupo hai nashukuru alhamdulilahi Bakwata.
Tuliona jinsi Idd Amin alivyoingia madarakani kwa mapinduzi na kushangiliwa kama mkombozi wa waganda,baadae alianza kuboronga ile mbaya,viongozi wa dini na wanaharakati walipoanza kumkosoa wakaanza kupotea na kuuawa hovyo.
Uchumi ulizidi kuporomoka ,siku moja Idd Amin akamwita gavana wa benki kuu na kumuuliza kwa nini uchumi unaporomoka hivyo,gavana akajibu ni kwa sababu ya inflation,Idd Amin akasema mkamateni inflation haraka.
Madikteta huwa hawana akili timamu ndo sifa yao kuu.
Hahahahaaa! Mkuu, naamini leo huna shaka, una uhakika!Kauli ile ndio nilipoanza kuwa na mashaka na uwezo wake
Umeuelewa ujumbe anaotaka kuufikisha au unataka umri wake. Think twice as much,fella!
Kwa sisi wazee wa zamani yaani vijana wa miaka ya 1978 ambao bado hadi sasa hivi tupo hai nashukuru alhamdulilahi Bakwata.
Tuliona jinsi Idd Amin alivyoingia madarakani kwa mapinduzi na kushangiliwa kama mkombozi wa waganda,baadae alianza kuboronga ile mbaya,viongozi wa dini na wanaharakati walipoanza kumkosoa wakaanza kupotea na kuuawa hovyo.
Uchumi ulizidi kuporomoka ,siku moja Idd Amin akamwita gavana wa benki kuu na kumuuliza kwa nini uchumi unaporomoka hivyo,gavana akajibu ni kwa sababu ya inflation,Idd Amin akasema mkamateni inflation haraka.
Madikteta huwa hawana akili timamu ndo sifa yao kuu.