Siku Idd Amin alipomkamata "inflation"

Siku Idd Amin alipomkamata "inflation"

Huyo huyo gavana wa central bank siku moja kwenye disco, anaulizwa na boss wake.

Idd Amini: "What is the major complaint of Ugandans about my reign? "

Governor: "Your exellence, majority are complaining that there is no money in circulation"

Idd Amini: "If Ugandans are complaining about money scarcity, PRINT MORE!".

Governor: "As you wish".

Hahahaha...huwa wanajua kabisa kuwa hili boss ni jinga,so hakuna kumkatalia lolote,sababu ukimkatalia analala na wewe mbereee...
 
Sasa kwanini mnalilia Mbowe na Lissu waje kuwa Marais wa nchi hii, una akili kweli.....mbona una ji-contradict? Kumbuka, Iddi Amini ni sawa tu na Mbowe, no education ila alikuwa rais...sasa fikiria Mbowe aje kuwa rais, unafikiri atafanya vituko gani hapa Bongo?
Hivi unadhani udikteta wa Amin ni kukosa elimu? Miaka ya 70's viongozi wengi tuu wa Afrika hawakuwa na elimu lakini haeakuwa madikteta
 
mmh sina hakika kama wewe nikijana wa zamani kweli...sidhani kulikuwa na tukio hilo...ila Askofu Luwum alishughulikiwa, na wengi wetu tulilaani...
Luwum st.
 
Sasa kwanini mnalilia Mbowe na Lissu waje kuwa Marais wa nchi hii, una akili kweli.....mbona una ji-contradict? Kumbuka, Iddi Amini ni sawa tu na Mbowe, no education ila alikuwa rais...sasa fikiria Mbowe aje kuwa rais, unafikiri atafanya vituko gani hapa Bongo?
Unauhakika wa unchoongea?
 
Hivi unadhani udikteta wa Amin ni kukosa elimu? Miaka ya 70's viongozi wengi tuu wa Afrika hawakuwa na elimu lakini haeakuwa madikteta


Really....nipe wasifu wa Bokassa, Mengistu, Barre, Mobutu, Gadhafi.
 
Sasa kwanini mnalilia Mbowe na Lissu waje kuwa Marais wa nchi hii, una akili kweli.....mbona una ji-contradict? Kumbuka, Iddi Amini ni sawa tu na Mbowe, no education ila alikuwa rais...sasa fikiria Mbowe aje kuwa rais, unafikiri atafanya vituko gani hapa Bongo?


Kwanza sijawahi kusikia mtu analilia Mbowe kuwa raisi. Labda uthibitishe!.

Pili Mbowe yujo hapa siku zote tunamwona, ameshafanya kituko gani kinachothibitisha kwamba ni idiot?

Bashite amethibitisha idiocy kwa kila kitu ikiwemo kugushi vyeti, na kuona hana uwezo wa kujenga hoja, hana ushawishi basi akaamua kuendesha maisha yake kwa uharifu.

Tofautisha na oanisha haiba na aina ya uongozi wa Iddi Amni, Jacob Zuma, na Magufuli, ukitetea hoja yako kwamba elimu ina uhusiano wa moja kwa moja na aina/uwezo wa uongozi.
 
Back
Top Bottom