Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kujibu swali kwa kutumia swali tunaita kuvutavuta muda ili kulitafakari swali gumu ulilopewa. Wigwa manangwa?Have you also thought twice as much, fella??!!
Kujibu swali kwa kutumia swali tunaita kuvutavuta muda ili kulitafakari swali gumu ulilopewa. Wigwa manangwa?
Labda Kijijini kwenu. Hapa hairuhusiwi. Ni upotofu wa adabu.Kujibu swali kwa swali inaruhusiwa kabisa
Huyo huyo gavana wa central bank siku moja kwenye disco, anaulizwa na boss wake.
Idd Amini: "What is the major complaint of Ugandans about my reign? "
Governor: "Your exellence, majority are complaining that there is no money in circulation"
Idd Amini: "If Ugandans are complaining about money scarcity, PRINT MORE!".
Governor: "As you wish".
Ooh yes mkuu lkn human face kwa mwanza tuu ila kimara no human faceMkuu siku nyingine uwe na " Human face"
Hivi unadhani udikteta wa Amin ni kukosa elimu? Miaka ya 70's viongozi wengi tuu wa Afrika hawakuwa na elimu lakini haeakuwa madiktetaSasa kwanini mnalilia Mbowe na Lissu waje kuwa Marais wa nchi hii, una akili kweli.....mbona una ji-contradict? Kumbuka, Iddi Amini ni sawa tu na Mbowe, no education ila alikuwa rais...sasa fikiria Mbowe aje kuwa rais, unafikiri atafanya vituko gani hapa Bongo?
Huyu mwingine anayevuma kwa sasa sio mfano tosha?dictator hata akiwa profesa anakuwaga empty headed, afu huwa hawajielewi kama hawana akili. idi amin ni mfano tosha.
Luwum st.mmh sina hakika kama wewe nikijana wa zamani kweli...sidhani kulikuwa na tukio hilo...ila Askofu Luwum alishughulikiwa, na wengi wetu tulilaani...
Unauhakika wa unchoongea?Sasa kwanini mnalilia Mbowe na Lissu waje kuwa Marais wa nchi hii, una akili kweli.....mbona una ji-contradict? Kumbuka, Iddi Amini ni sawa tu na Mbowe, no education ila alikuwa rais...sasa fikiria Mbowe aje kuwa rais, unafikiri atafanya vituko gani hapa Bongo?
Labda Kijijini kwenu. Hapa hairuhusiwi. Ni upotofu wa adabu.
Mkuu unamuelezea yule "mchoma korosho"?Huyu mwingine anayevuma kwa sasa sio mfano tosha?
...sina hakika... sidhani.... Tumuamini nani sasa, wewe au mleta mada????[emoji22][emoji22][emoji22]mmh sina hakika kama wewe nikijana wa zamani kweli...sidhani kulikuwa na tukio hilo...ila Askofu Luwum alishughulikiwa, na wengi wetu tulilaani...
Weye jamaa mbona mbishi sana? Ntakupa ban! Labda kwa huu mkwara utajirekebisha.Kijijini kwenu vipi, Ndugu yangu??
Alikuwa anajua alichokiandaa. Polisi na wezi wa maboksi ya kura.Eti aliambimbiwa uchaguzi wa Kanondani lazima tunashindwa alijibu ni lazima tushinde
Hivi unadhani udikteta wa Amin ni kukosa elimu? Miaka ya 70's viongozi wengi tuu wa Afrika hawakuwa na elimu lakini haeakuwa madikteta
Hata akikupa wasifu wa hao hakuondoi ukweli kuwa wengi walikuwa "shuleless"!Really....nipe wasifu wa Bokassa, Mengistu, Barre, Mobutu, Gadhafi.
Sasa kwanini mnalilia Mbowe na Lissu waje kuwa Marais wa nchi hii, una akili kweli.....mbona una ji-contradict? Kumbuka, Iddi Amini ni sawa tu na Mbowe, no education ila alikuwa rais...sasa fikiria Mbowe aje kuwa rais, unafikiri atafanya vituko gani hapa Bongo?