Siku Idd Amin alipomkamata "inflation"

Really....nipe wasifu wa Bokassa, Mengistu, Barre, Mobutu, Gadhafi.
Hawa wote uliowataja walikuwa tishio na wengine walijiengea mpaka international airports zao vijijini, lakini wako wapi wamepita kama watakavyopita na wengine.

U DICTATOR ni hulka si swala la elimu. Tumeongozwa Tz hapa na Mzee Mwinyi alikuwa na diploma tu ya ualimu lakini hakuwa dictator!!! U dictator pia unaletelezwa na watu wanaokuzunguka (wapambe) hasa kama wanafaidika nao.
 
Huyu wetu wetu aliwahi kusema watu wanaokaribia pale central polisi wakiimba wakamatwe wote pamoja na magari na pikipiki zao wawekwe ndani!
Kweli ni wehu!
 
Mkuu, kwenye makuzi yako una historia ya kuugua kwashiokor? Hueleweki!

Kwa lugha hiyo ni rahisi kufahamu itikadi yako ni ipi...kwani wale wote ambao hutumia lugha za kebehi na udhalilishaji kwenye mitandao wakiamini kuwa hiyo ndiyo demokrasia na kujitambua wanafahamika ni wa upande upi
 
Kwa lugha hiyo ni rahisi kufahamu itikadi yako ni ipi...kwani wale wote ambao hutumia lugha za kebehi na udhalilishaji kwenye mitandao wakiamini kuwa hiyo ndiyo demokrasia na kujitambua wanafahamika ni wa upande upi
Unaonekana mshari sana weye!!
 
ALISEMA PRINT MORE MONEY! KELI MANOTI YAKAWA PRINTED, KILICHOTOKEA NI KUBEBA GUNIA LA NOTI KUNUNUA MKATTE!
 
Amin aliishia darasa la pili! Mbowe form Six, Font fedi ana PhD... who is better?
 
Have you also thought twice as much, fella??!!
1954...... hivi kweli hakuna tatizo na utawala huu? Jifungie chumbani utafakari, hivi kweli hakuna mahali mambo hayaendi vizuri? Nafsi yako iulize kisisrisiri!
 
Daa nimecheka sana hiyo nalalala nae mbele
 
mmh sina hakika kama wewe nikijana wa zamani kweli...sidhani kulikuwa na tukio hilo...ila Askofu Luwum alishughulikiwa, na wengi wetu tulilaani...
Who killed Bishop Janan Luwum? Who killed Ben Saanane, who kiled Alphonce mawazo, who killed Azory, who killed those in the sandarusi along the beach?

Bishop Jananu Luwum


Arrest and death[edit]

Archbishop Luwum was a leading voice in criticising the excesses of the Idi Amin regime that assumed power in 1971. In 1977, Archbishop Luwum delivered a note of protest to dictator Idi Amin against the policies of arbitrary killings and unexplained disappearances. Shortly afterwards the archbishop and other leading churchmen were accused of treason.


On 16 February 1977, Luwum was arrested together with two cabinet ministers, Erinayo Wilson Oryema and Charles Oboth Ofumbi. The same day Idi Amin convened a rally in Kampala with the three accused present. A few other "suspects" were paraded forth to read out "confessions" implicating the three men. The archbishop was accused of being an agent of the exiled former president Milton Obote, and for planning to stage a coup. The next day, Radio Ugandaannounced that the three had been killed when the car transporting them to an interrogation center had collided with another vehicle. The accident, Radio Uganda reported, had occurred when the victims had tried to overpower the driver in an attempt to escape.[2] When Luwum's body was released to his relatives, it was riddled with bullets. Henry Kyemba, minister of health in Amin's government, later wrote in his book A State of Blood, that "The bodies were bullet-riddled. The archbishop had been shot through the mouth and at least three bullets in the chest. The ministers had been shot in a similar way but one only in the chest and not through the mouth. Oryema had a bullet wound through the leg."[3]

According to the later testimony of witnesses, the victims had been taken to an army barracks, where they were bullied, beaten and finally shot. Time magazine said "Some reports even had it that Amin himself had pulled the trigger, but Amin angrily denied the charge, and there were no first-hand witnesses".[4]

Janani Luwum was survived by a widow, Mary Lawinyo Luwum and nine children. He was buried at his home village of Mucwini in the Kitgum District. He is recognised as a martyr by the Church of England and the Anglican Communion and his death is commemorated on 17 February as a Lesser Festival. His statue is among the Twentieth Century Martyrs on the front of Westminster Abbey in London.
 
1954...... hivi kweli hakuna tatizo na utawala huu? Jifungie chumbani utafakari, hivi kweli hakuna mahali mambo hayaendi vizuri? Nafsi yako iulize kisisrisiri!

Ni 'mbinguni' tu ambako pengine hakuna matatizo...matatizo yapo kila mahali...Kila serikali ina matatizo, na kila jamii ina matatizo...Suala hapa siyo kwamba uongozi wa JPM hauna matatizo...matatizo yapo...Hoja hapa ni namna baadhi yetu tunavyofanya propaganda kuhusu kile kinachodaiwa serikali hii eti ni ya kidikteta, eti ni ya mauaji, eti inaminya demokrasia...Hapo tunasema wanaosema hivyo (wakiwemo baadhi ya viongozi wetu wa dini) wamepotoka mno...Utawala wa sasa wa nchi yetu hauminyi demokrasia bali unarekebisha hali ilivyo ambapo watu walikuwa wanajifanyia mambo watakavyo kwa kisingizio cha demokrasia...demokrasia siyo fujo hata kidogo...hakuna demokrasia pasipo wajibu...Utawala wa sasa unaweka misingi ya utawala bora kwamba watu wazingatie sheria, kanuni na taratibu zilizopo...Mbunge akiwa bungeni na kunyoosha kidole cha kati eti akiamini kuwa hiyo ndiyo demokrasia ni lazima ashughulikiwe kwani vitendo vya aina hiyo hufanywa na wahuni mitaani...Mbunge na mtu mwingine yeyote yule akimtukana Head of state ambaye ni Rais wetu na ambaye ni Amiri jeshi Mkuu wa majeshi yetu ya ulinzi na usalama ni lazima ashughulikiwe...Mwenzetu yeyote hata akiwa ni Askofu akifanya vitendo vya kifisadi ikiwa ni pamoja na kupokea fedha haramu zilizotokana na ufisadi ni lazima azongwe... Je, watu wanauawa kipindi hiki? Hivi wakati wa Nyerere watu hawakuuawa, je, wakati wa Mwinyi kulikuwa hakuna mauaji yoyote mitaani na hata kati ya wafugaji na wakulima? Je, wakati wa Mkapa hakukuwa na mauaji kweli? Vipi wakati wa kikwete kulikuwa hakuna mauaji? Ni wakati gani wale vijana wa madini kutoka Morogoro waliuawa na kutupwa kwenye msitu wa Mabwepande? HJe, yule kiongozi wa madaktari aliyekutwa msituni sijui anaitwa nani yule ulikuwa ni wakati wa JPM? Watu tuache unafiki...This President is keeping our house in order...na katika hili wako wanaoumia, hii inafahamika...lakini JPM is doing a good job...matatizo kwenye utawala wake yapo na hayawezi kukosekana...yapo mengi tu, lakini kwa sasa siyo mjadala wake...Lakini hilo la eti kuminywa demokrasia, NO...
 
Mauaji yote uliyoyasema huko nyuma serikali haikuhusika. Ulikuwa ni ujambazi wa kawaida. haya ya sasa watu wanalalamika kuwa serikali ndiyo inayafanya! Tofautisha, kati ya scenario hizi mbili. 1954, huoni tatizo kweli?
 
Mauaji yote uliyoyasema huko nyuma serikali haikuhusika. Ulikuwa ni ujambazi wa kawaida. haya ya sasa watu wanalalamika kuwa serikali ndiyo inayafanya! Tofautisha, kati ya scenario hizi mbili. 1954, huoni tatizo kweli?

Sina hakika unataka kusema nini? Mauaji ya sasa serikali inahusika vipi...leta ushahidi hapa kuhusu namna serikali inavyohusika na mauaji...Je, wale vijana wa madini hukumbuki kuwa polisi walidaiwa kuhusika na ambapo senior police officer alifikishwa mahakamani? Je, mauaji ya operesheni fulani iliyofanyika huko Shinyanga na watu kadhaa wakateswa na kufa na hata Waziri wa mambo ya ndani wakati huo kujiuzulu (ambapo baadaye alikuja rais ) je serikali haikuhusika hapo? Tuwe wakweli katika mambo haya....ni mauaji gani yamefanyika katika awamu hii ya JPM na kama yapo ni ushahidi upi unathibitisha kuwa serikali inahusika? Ni demokrasia gani hiyo imeminywa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…