eden kimario JF-Expert Member Joined Jun 13, 2015 Posts 10,356 Reaction score 16,379 Jan 19, 2025 #1 tarehe 19 januari, miaka saba iliyopita Mungu alimnyanyua kitandani na kuziinua tena hatua za miguu yake mtu wake, Tundu antipasi Lisu Mungu akiwa na kusudi na wewe mipango yote ya binadamu inafeli
tarehe 19 januari, miaka saba iliyopita Mungu alimnyanyua kitandani na kuziinua tena hatua za miguu yake mtu wake, Tundu antipasi Lisu Mungu akiwa na kusudi na wewe mipango yote ya binadamu inafeli
N Newforce JF-Expert Member Joined May 13, 2024 Posts 430 Reaction score 708 Jan 19, 2025 #2 Huyu jamaa kapitia mambo mengi sana
Mayor Quimby JF-Expert Member Joined Mar 13, 2021 Posts 4,950 Reaction score 10,977 Jan 19, 2025 #3 Mropokaji hakuna mfano
JF Member JF-Expert Member Joined Dec 14, 2014 Posts 7,914 Reaction score 10,793 Jan 19, 2025 #4 Hii ndio sababu ya kumpa uenyekiti?. Amepitia hayo kwa sababu ya ka-Mdomo.