Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
- Thread starter
- #41
Shukran chiefPole
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukran chiefPole
Uko sahihi. Binafsi sio mpenz wa safar za usiku. Sema tu nilijjaribu ku consider upande mmoja wa jam na misongamajo ya mjini ndio maana nikasema acha niemde usiku kumetulia.Binafsi nilichoona kwako siyo siku mbaya, bali ni Poor planing..
Safari za Usiku ni za kuepuka sana, hasa ukiwa na Familia, kwa maana mara nyingi ukipata dharura usiku unakuwa na uwanda Mdogo wakufanya maamuzi sahihi (lack of options).. Kwenye Planing yako huja consider dharura kwamba ikitokea nitafanyeje..
Nimeamini umepata fundisho kwenye hii changamoto. Pole sana
😁😁😹Daahhh kwel ndefu mkuu hilo sipingi 😂😂. Sasa ningesema niandike series, kwamba INAENDELEA, hapa nikaogopa kutukanwa
Ahahahahahahah...dah mkuu hapana bwana, mi mzinguaji lakin sio kwa level hiyo 😂😂😂😂😁😁😹
Kumbe nawe unaogopa matusi mzee baba.
Kwa kumbukumbu zangu nzuri huwa nikikusoma hapa jukwaani muda wote sijawahi kukuona ukipenda AMANI😁😁
Ahsante. Hilo ndio la muhimuPole! Muhimu haukupata ajali
👍🏼Ahahahahahahah...dah mkuu hapana bwana, mi mzinguaji lakin sio kwa level hiyo 😂😂😂😂
Hapa nilizingua sana kwakwelWewe ni mbishi sana kuziheshimu hisia zako mkuu.
Linatokea hili unapush, unasonga, linakuja hili bado huoni sign unapush kushoto unasonga.
Hiyo ipo sana mkuu, kuna ile huiamini hiyo sauti.Hapa nilizingua sana kwakwel
Nikiuweza huu mtihani aisee nitashukuru, maana gari ikiharibika tu na amani inatowekaKatika vitu ambavyo sitaki vinisumbue kichwa ni hayo machuma. Likigoma naachana nalo. Kuna connection na gari mtu anakuwa nayo ikiharibika na yeye anakuwa kama anaumwa. Epuka hio.
Yaan daah!! Sijui kama mimi nitauweza. Ujue bond yako na gari ni kali sana ndio mana lets say gari chini imegonga jiwe bila kutarajia, aisee yale maumivu unayasikilizia mpaka rohoni! 😂😂😂😂.Nikiuweza huu mtihani aisee nitashukuru, maana gari ikiharibika tu na amani inatoweka
Ahsante sana baba mahondaw
Ni kwel kabisa...Mungu anatuhurumia sana aiseeHiyo ipo sana mkuu, kuna ile huiamini hiyo sauti.
Ila Mungu mwema pamoja ukaidi wetu bado mara nyingi madhara yanatupitia mbali ama lah kutuacha na funzo.
Ahahahahahah.Mi Ka gari kangu kana mtindo wa kujizima kwenye foleni ..alafu nakawasha tena safari inaendelea najua ipo siku kata kata moto mazima nihangaike na na triangle barabarani