Siku mimba inaingia mwilini, kuna dalili yoyote inatokea?

Siku mimba inaingia mwilini, kuna dalili yoyote inatokea?

Sasa jamani hamjamsaidia mwenzenu labda kuna demu anataka kumbebesha mzigo. Pia nadhani madaktari wanaweza kumsaidia
 
Hivi siku ambayo mwanamke mimba inaingia mwilini mwake kuna dalili yoyote ndani ya hiyo siku au kwa muda huo wa tendo?

Na je ni dalili gani hizo? [emoji120] [emoji120] [emoji120]
yeap. Ni kuanza kuona kifungo cha miaka 30 jela.
 
Kwa kawaida inategemeana na aina ya mwanamke, kama ni mke wa mtu ukimaliza tu utapata kausingizi kaziito then utaota ISS Alshab, Taaleban wakikufyeka kichwa live jangwani hapo jue tayari. kama ni mwanafuzi utawaota wanasheria wakubwa wakikukimbia unabaki mahakani na hakimu akizungumza kiigereza!! in short utasikia ndotoni cooooorti then unasikia 30.

Nenda Hospital kijana acha kutusumbua hapa
🙂😀 atiiiii? Couuuuuuuuuuuuuuurt
 
Hivi siku ambayo mwanamke mimba inaingia mwilini mwake kuna dalili yoyote ndani ya hiyo siku au kwa muda huo wa tendo?

Na je ni dalili gani hizo? [emoji120] [emoji120] [emoji120]
nyege zako mshindo zimekuponzaa kwahyo basi pindi mimba inapoingia utaskia ahaahaaahaaaa basi hapo utakumbatia vilevle ujiandae kwenda miaka 30
 
Back
Top Bottom