Siku Moja Utastaafu

Siku Moja Utastaafu

Magical power

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2022
Posts
2,158
Reaction score
5,626
1. Siku Moja Utastaafu
1725868091644.jpg
.

Hautakua ukienda kazini, hautakua na madaraka tena, hautakua na nguvu ya ushawishi, mzunguko wako wa pesa utapungua kabisa!
Chunguza/fuatilia tarehe yako ya kustaafu kwenye risiti yako ya malipo ya mshahara.

2. Tumia Vizuri Siku Zako za Likizo ya Mwaka.
Chochote utakachokifanya Likizo ndio utakachokifanya ukistaafu.Kama unatumia likizo kulala au kuagalia Luninga ndicho utakachokifanya ukistaafu.Tumia wakati wako wa ziada kujifunza kitu, kitakuja kuwa na manufaa ukistaafu.

3. Wekeza Kwa Ajili ya Kustaafu Kwako.
Watoto wako sio uwekezaji kwa ajili ya kustaafu kwako. Usiwategemee watoto, ndugu, au marafiki kama benki yako. Utapoteza heshima na utu wako.

4. Tafuta Shughuli Unayoipenda/Unayoifurahia wakati bado upo kazini ikuongozee katika kustaafu kwako mfano kufuga kuku au miliki duka pata ujuzi unaojiuza (sio vyeti visivyo na matumizi)

5. Utastaafia Wapi?.
Jijengee nyumba. Usistaafu ukiwa bado unapanga nyumba.
Usigome kutoka kwenye nyumba ya serikali.
 
Asubuhi na mapema nakutana na roho wa bwana ananena na Mimi kupitia mwandiko wa mtumishi Magical power.

Aisee nipo kijijini Sana natamani nistaafie hapa hapa ,sitaki kurudi nyumbani maana ni mjini Sana sijawekeza chochote Cha maana zaidi ya machawa tu.

Nikitizama muda uliobaki sioni dalili za kuweza kuwekeza kitu Cha kunibeba uzeeni ,ni Bora nilowee huku huku kikubwa wanakijiji wameshanikubali Sana kama potential na think tank ya Kijiji.
 
Kuna boss mmoja kastaafu juzijuzi tu hapa yani ni anatia huruma. Amestaafia kwenye nyumba ya serikali alikuwa anajenga ila sidhani kama alishamaliza kwa sababu kaomba anedelee kubaki kwenye nyumba ya serikali. Halafu alikuwa boss mkubwa tu yani CEO. Mpaka amestaafu alikuwa hana biashara yeyote ile. Kuna siku nimekutana nae kakonda ghafla yani kaishaa na uzee ndio unaonekana dhahiri sasa.. wakati huo alikuwa anaftwa na V8 nyumbani sasa hivi anaendeshwa na harier

Wakati akiwa kazini alikuwa hakai ofisini yani hizo safari zake zilikuwa ni balaa.. kama ni pesa alipata sana ila sijui kafanyia nini.. Na alikuwa akikuchukia anakuhamisha anakupeleka sehemu nyingine ukafe njaa. Alihamisha sana watu ofisini na alikuwa hapendwi. Sasa hivi anaishi maisha ya unyonge na hata mwaka bado hajamaliza tangu astaafu.

Tujifunze kuishi na watu vizuri tukiwa kazini..
 
Yale
Kuna boss mmoja kastaafu juzijuzi tu hapa yani ni anatia huruma. Amestaafia kwenye nyumba ya serikali alikuwa anajenga ila sidhani kama alishamaliza kwa sababu kaomba anedelee kubaki kwenye nyumba ya serikali. Halafu alikuwa boss mkubwa tu yani CEO. Mpaka amestaafu alikuwa hana biashara yeyote ile. Kuna siku nimekutana nae kakonda ghafla yani kaishaa na uzee ndio unaonekana dhahiri sasa.. wakati huo alikuwa anaftwa na V8 nyumbani sasa hivi anaendeshwa na harier

Wakati akiwa kazini alikuwa hakai ofisini yani hizo safari zake zilikuwa ni balaa.. kama ni pesa alipata sana ila sijui kafanyia nini.. Na alikuwa akikuchukia anakuhamisha anakupeleka sehemu nyingine ukafe njaa. Alihamisha sana watu ofisini na alikuwa hapendwi. Sasa hivi anaishi maisha ya unyonge na hata mwaka bado hajamaliza tangu astaafu.

Tujifunze kuishi na watu vizuri tukiwa kazini..
Ma milioni aanayolipwa wanayafanyia nin?
 
Kuna boss mmoja kastaafu juzijuzi tu hapa yani ni anatia huruma. Amestaafia kwenye nyumba ya serikali alikuwa anajenga ila sidhani kama alishamaliza kwa sababu kaomba anedelee kubaki kwenye nyumba ya serikali. Halafu alikuwa boss mkubwa tu yani CEO. Mpaka amestaafu alikuwa hana biashara yeyote ile. Kuna siku nimekutana nae kakonda ghafla yani kaishaa na uzee ndio unaonekana dhahiri sasa.. wakati huo alikuwa anaftwa na V8 nyumbani sasa hivi anaendeshwa na harier

Wakati akiwa kazini alikuwa hakai ofisini yani hizo safari zake zilikuwa ni balaa.. kama ni pesa alipata sana ila sijui kafanyia nini.. Na alikuwa akikuchukia anakuhamisha anakupeleka sehemu nyingine ukafe njaa. Alihamisha sana watu ofisini na alikuwa hapendwi. Sasa hivi anaishi maisha ya unyonge na hata mwaka bado hajamaliza tangu astaafu.

Tujifunze kuishi na watu vizuri tukiwa kazini..
Inawezekana anasubiria mafao...
 
Kuna boss mmoja kastaafu juzijuzi tu hapa yani ni anatia huruma. Amestaafia kwenye nyumba ya serikali alikuwa anajenga ila sidhani kama alishamaliza kwa sababu kaomba anedelee kubaki kwenye nyumba ya serikali. Halafu alikuwa boss mkubwa tu yani CEO. Mpaka amestaafu alikuwa hana biashara yeyote ile. Kuna siku nimekutana nae kakonda ghafla yani kaishaa na uzee ndio unaonekana dhahiri sasa.. wakati huo alikuwa anaftwa na V8 nyumbani sasa hivi anaendeshwa na harier

Wakati akiwa kazini alikuwa hakai ofisini yani hizo safari zake zilikuwa ni balaa.. kama ni pesa alipata sana ila sijui kafanyia nini.. Na alikuwa akikuchukia anakuhamisha anakupeleka sehemu nyingine ukafe njaa. Alihamisha sana watu ofisini na alikuwa hapendwi. Sasa hivi anaishi maisha ya unyonge na hata mwaka bado hajamaliza tangu astaafu.

Tujifunze kuishi na watu vizuri tukiwa kazini..
Haya mambo bado yapo kweli?? Au ni hadithi za zama za kale?? 🤣
 
Kuna boss mmoja kastaafu juzijuzi tu hapa yani ni anatia huruma. Amestaafia kwenye nyumba ya serikali alikuwa anajenga ila sidhani kama alishamaliza kwa sababu kaomba anedelee kubaki kwenye nyumba ya serikali. Halafu alikuwa boss mkubwa tu yani CEO. Mpaka amestaafu alikuwa hana biashara yeyote ile. Kuna siku nimekutana nae kakonda ghafla yani kaishaa na uzee ndio unaonekana dhahiri sasa.. wakati huo alikuwa anaftwa na V8 nyumbani sasa hivi anaendeshwa na harier

Wakati akiwa kazini alikuwa hakai ofisini yani hizo safari zake zilikuwa ni balaa.. kama ni pesa alipata sana ila sijui kafanyia nini.. Na alikuwa akikuchukia anakuhamisha anakupeleka sehemu nyingine ukafe njaa. Alihamisha sana watu ofisini na alikuwa hapendwi. Sasa hivi anaishi maisha ya unyonge na hata mwaka bado hajamaliza tangu astaafu.

Tujifunze kuishi na watu vizuri tukiwa kazini..
Kabisa
 
Back
Top Bottom