Siku Mwalimu Nyerere akirudi...

deecarter

Member
Joined
Aug 24, 2019
Posts
23
Reaction score
64
Siku mwalimu mwalimu nyerere akirudi atashangaa kuona mabadiliko yaliopo mwalimu atashangaa akiona lile shirika kubwa EA la ndege likifa alafu lile dogo linazidi kuchipukia Mwalimu atashanga akiona zile flyover za majirani znaonekana kama tudaraja tudogotudogo akizicompare na za nchi yake Mwalimu atashangaa akiona ile ulaya ya afrika mashariki enzi zake kwasasa ni slum tupu Mwalimu atashanngaa kuona vitu kama hivi
Mwalimu atashangaa sana akisikia bado kuna nchi inapewa msaada wa chakula bila sababu za msingi Mwalimu atashangaa sana akiskia bado kunanchi ina ukabila
Mwalimu atashangaa sana akiskia bado kunanchi inapitisha bajeti kubwa kwkutegemea misaada
Mwalimu atashangaa sana akisikia nchi jirani bado asilimia kubwa ya aridhi hawawezi kuigusa

WE HAVE TO LEARN SOMETIME DICTATORSHIP CAN BRING THE POSTIVE CHANGES
 
Ila atakufa tena akiona watoto wasiokuwa na hatia wakichinjwa, albino wakikatwa mikono na sehemu nyeti kwa ajili ya ushirikina.
Yeah, atapata heart attack n kufa hapo hapo akigundua watu wake walishageuka kuwa wala watu.Mama anageuza mtoto kitoweo.
 
Keep talking about past news to satisfy yourself
Ila atakufa tena akiona watoto wasiokuwa na hatia wakichinjwa, albino wakikatwa mikono na sehemu nyeti kwa ajili ya ushirikina.
Yeah, atapata heart attack n kufa hapo hapo akigundua watu wake walishageuka kuwa wala watu.Mama anageuza mtoto kitoweo.
 
Atashangaa kusikia kwamba wakenya wanabembeleza Tanzania ili ziungane kuwa federation, wakati enzi zake yeye alipigana sana kuziunganisha hizi nchi, lakini kwa tamaa ya kujitajirisha yeye na kabila lake, mzee Jommo Kenyatta alikataa.
 
Kitakacho mfanya azimie kabisa ni kuona uwanja wa ndege na mbuga ya wanyama kuwekwa chato
 
Kitakacho mfanya azimie kabisa ni kuona uwanja wa ndege na mbuga ya wanyama kuwekwa chato
Mbuga ya wanyama inawekwaje mahali we Nyumbu? Mnaitwa Nyumbu lakini hamjui Nyumbu wenzenu wanaishi vipi. Burigi-Chato ipo na wanyama toka kuumbwa kwa dunia, kupandishwa hadhi kutoka Game reserves kuwa National Park ni kitu pia kinafanyika kwenye kumega game reserves za Selous kuwa Nyerere National Park.
 
Yani umenifanya nicheke sana jane
Ila atakufa tena akiona watoto wasiokuwa na hatia wakichinjwa, albino wakikatwa mikono na sehemu nyeti kwa ajili ya ushirikina.
Yeah, atapata heart attack n kufa hapo hapo akigundua watu wake walishageuka kuwa wala watu.Mama anageuza mtoto kitoweo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…