Siku nikiamka na hasira nitahakikisha hapakaliki jamii forum

Siku nikiamka na hasira nitahakikisha hapakaliki jamii forum

jerrysonkiria

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2014
Posts
2,228
Reaction score
2,901
Naisubiri siku hii kwa hamu niamke mwenye hasira kiasi cha kutaka kuua mtu na si mmoja


Kabla ya kulala usiku huo nitakunywa pombe nyingi na bangi nyingi ili nikiamka niwe nazo kichwani na nitakuja Jamii forum kuwa zingua wale wakunata haswaa mademu wa humu [emoji19][emoji21][emoji21][emoji21][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
 
Naisubiri siku hii kwa hamu niamke mwenye hasira kiasi cha kutaka kuua mtu na si mmoja


Kabla ya kulala usiku huo nitakunywa pombe nyingi na bangi nyingi ili nikiamka niwe nazo kichwani na nitakuja Jamii forum kuwa zingua wale wakunata haswaa mademu wa humu [emoji19][emoji21][emoji21][emoji21][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]

Taja mbaya wako hapa jamii forum
 
Naisubiri siku hii kwa hamu niamke mwenye hasira kiasi cha kutaka kuua mtu na si mmoja


Kabla ya kulala usiku huo nitakunywa pombe nyingi na bangi nyingi ili nikiamka niwe nazo kichwani na nitakuja Jamii forum kuwa zingua wale wakunata haswaa mademu wa humu [emoji19][emoji21][emoji21][emoji21][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
Lewa uhatarishe mwili wako
 
wew vuruga mazingira saiv unasubir kunywa mapombe yako plus bangi ukizima je???

kama vip kastue na kiroba kimoja uje kufanya yako
 
Naisubiri siku hii kwa hamu niamke mwenye hasira kiasi cha kutaka kuua mtu na si mmoja


Kabla ya kulala usiku huo nitakunywa pombe nyingi na bangi nyingi ili nikiamka niwe nazo kichwani na nitakuja Jamii forum kuwa zingua wale wakunata haswaa mademu wa humu [emoji19][emoji21][emoji21][emoji21][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
Hapo penyewe umeamka nazo
 
Nadhani Alshabab bado wana recruit usichelewe
Siku hizo hasira zikipanda. Naona ajira ngumu.
 
Back
Top Bottom