Siku nikiamka na hasira nitahakikisha hapakaliki jamii forum

Siku nikiamka na hasira nitahakikisha hapakaliki jamii forum

watu wengine cjui waga mna matatiz gan.hata muda tu wa kuandka vtisho unapata wap???? acha ujinga
 
mmmh pumba mtupu
godmode.png
 
Naisubiri siku hii kwa hamu niamke mwenye hasira kiasi cha kutaka kuua mtu na si mmoja


Kabla ya kulala usiku huo nitakunywa pombe nyingi na bangi nyingi ili nikiamka niwe nazo kichwani na nitakuja Jamii forum kuwa zingua wale wakunata haswaa mademu wa humu [emoji19][emoji21][emoji21][emoji21][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
Una shida ww
 
Naisubiri siku hii kwa hamu niamke mwenye hasira kiasi cha kutaka kuua mtu na si mmoja


Kabla ya kulala usiku huo nitakunywa pombe nyingi na bangi nyingi ili nikiamka niwe nazo kichwani na nitakuja Jamii forum kuwa zingua wale wakunata haswaa mademu wa humu [emoji19][emoji21][emoji21][emoji21][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
Tafuta punching bag. Sana sana utaambulia ban ya kufa mtu. ACHA UTOTO!
 
Back
Top Bottom