Siku nikikutana Financial Services wa JF nitamuuliza maswali haya

Mama mchumba si nko apa tafadhali acha kuhangaika kwingine.
 
Umetisha financial services; Humble, smart and grateful. Ndio maana mwamba kadata.
 
Hongera kwa yote mazuri ulioyapata huku
Hongera pia kwa sifa njema juu yako zilizo tajwa.

Sijui wenzangu mumewezaja hili, binafsi nina mwaka mwaka wa saba hapa sijawahi kujuana na mtu yoyote huku iwe kwa wazi au faragha!
 
Hongera kwa yote mazuri ulioyapata huku
Hongera pia kwa sifa njema juu yako zilizo tajwa.

Sijui wenzangu mumewezaja hili, binafsi nina mwaka mwaka wa saba hapa sijawahi kujuana na mtu yoyote huku iwe kwa wazi au faragha!
Aisee si mbaya kutokuonana mtakutana hata kwenye comments tu ni sawa, mimi kuonana ilikua ni vile niliandika uzi wa kuomba kazi so nikapata responses za kupeleka CVs, kufanya interviews so ndiyo maana nilionana na watu, japo wengine nilishawasahau sasa.
 
Ila inakua na furaha fulani hivi kukutana ana kwa ana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…