Siku nikikutana Financial Services wa JF nitamuuliza maswali haya

Mapenzi yamekupiga 2-0 ndugu yangu, pole na ulivo jinga umependa tena kabla hujapona aaih utalia soon tena😂 (joke bana siombei hivo)
Wewe wakuniambia mimi haya..? Ama kweli dunia imevaa dera! Mimi 2-0!!!! Basi wewe ni negative 5 kwa 0 Yani mpaka unadaiwa!.. mbilimbi mkubwa wee..😂
 
Kwan ukiliwa kimasihara kuna shda gan??
Kuliwa kimasihara wala si shida na naamini si kimasihara ni planned kabisa maana mdada kama hayuko tayari hawezi kuhave sex bila ridhaa yake, shida ni kuja kutangaza na kujisifia publicly ndiyo inakua kama udhalilishaji hivi ndiyo hatupendi.
 
Kuliwa kimasihara wala si shida na naamini si kimasihara ni planned kabisa maana mdada kama hayuko tayari hawezi kuhave sex bila ridhaa yake, shida ni kuja kutangaza na kujisifia publicly ndiyo inakua kama udhalilishaji hivi ndiyo hatupendi.
Ok!
 
...Kwa urembo wake ule....

Urembo upi?
We una uhakika?
Ni yeyee?

Acha wizi mkuu unatega ule kimasihara syo? Ushakosa kimasihara wizi kabisa uo urembo wake umeona wapi?

Unaleta swaga za nikilala usingizi sipati nakuota wewe.
 
Kuliwa kimasihara wala si shida na naamini si kimasihara ni planned kabisa maana mdada kama hayuko tayari hawezi kuhave sex bila ridhaa yake, shida ni kuja kutangaza na kujisifia publicly ndiyo inakua kama udhalilishaji hivi ndiyo hatupendi.
Kweli unachosema sema mimi nawish kukutana na ww mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…