Siku nikikutana Financial Services wa JF nitamuuliza maswali haya

[emoji1]
Loli dogo nkota ugho onwile ghokubhomba embombo, abhajhanga bha muno bhakughanile fijo ghwetu...
 
Kalumbu ni dogo lakini awe wa kike haitumiki kumwita hivyo mwanaume [emoji23]
Kweli mkuu? Siku zoote mimi bro's wangu nawaitaga hivo wasije siku wakanidunda bure. Mmh hii lugha nayo ngumuu haya inabidi nitumie jina gani sasa?
 
Miaka nenda miaka rudi
respect.
Wooow umejibu swali langu vizuri sana sema japo kuna kaswali ka uchokozi umekaruka kukajibu[emoji1][emoji1]ila sio mbaya siku tukikutana naweza kukuuliza sema nimependa sana tuwe marafiki ni mwanamke mmoja ambae nakukubari sana na nimekuwa nikikufuatilia kwa karibi mno mimi pia nimesoma hiyo kozi yako uliyosoma sema nimesoma BPA ila now npo jobless bado sijapata mchongo na imani kampani yako kwangu nitajifunza vitu vingi 0622271517 hii nambaangu japo nimeamua kuiweka public despite it can be a risk to me but whatever[emoji122][emoji122]
financial services
 
Wooow umejibu swali langu vizuri sana sema japo kuna kaswali ka uchokozi umekaruka kukajibu[emoji1][emoji1]ila sio mbaya siku tukikutana naweza kukuuliza sema nimependa sana tuwe marafiki ni mwanamke mmoja ambae nakukubari sana na nimekuwa nikikufuatilia kwa karibi mno mimi pia nimesoma hiyo kozi yako uliyosoma sema nimesoma BPA ila now npo jobless bado sijapata mchongo na imani kampani yako kwangu nitajifunza vitu vingi 0622271517 hii nambaangu japo nimeamua kuiweka public despite it can be a risk to me by whatever[emoji122][emoji122]
 
Mkuu huenda hana nia hiyo hata, usimsemee
Sina nia ya kukutaka mkuu sina nia hiyo kabisa sema ndio hivyo kwa mitizamo ya wabongo wengi wataamini huenda nakuwekea mitego ili nikupate kitu ambacho sikiwazi na kumkubari sio kwamba ndio unamtaka kimapenzi noop
 
Kwahiyo unataka tuonane for kimasihara ila isiwe ya kuja kutangaza humu? Ni kweli huo uzi wako ulikua ni mtego kama watu walivosema?
Sio kweli sina maana ya kutaka kukutana na ww ili nifanikishe lengo la kukula mbususu kimasihara[emoji1][emoji1] but ngoja nikupe ushaidi mmoja kuna mdada niliwahi kukutana nae humu humu jf jina namuifadhi nilikutana nae jukwaa la siasa kule nilimpenda tu awe rafk kutokana na comment zake unajua humu mtu anapimwa na kile anachokiandika humu unamjua huyu mtu ni wa aina ipi japo somtym it not matter basi tukaanzaga urafiki humu bila kujuana almost 2 months then tukajaga kujuana ana kwa ana nimedumu nae urafiki hadi now ni kama dadaangu wa faida tunashauriana mambo mbalimbali ya kimaisha pia japo first time tumeonana wote tulikuwa surpise ila sometime it not bad kuwa na urafiki na different gender[emoji122]
 
Makahaba wa jf, mkuu maneno mazito haya, humu kuna hadi wachungaji makanisani, maustadhat misikitini, why calling kahaba mtu usiyemfahamu?[emoji19]
....... pia Malaya kwenye madangulo siwafaham na sijataja ndege yeyote humu [emoji35]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…