Siku niliyoamini kweli mimi mjomba ni sawa na mama😊

Nyie maboya kwelikwelii...

Huyo boda anamchukuaje mtoto kavukavu bila kulipa faini ya kumzalisha mdogo wenu?

Nyie ni maboya..
 
Mjomba ni mama kasoro maziwa tu ninakaa na uncle wangu miaka 2 ananiita mama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…