Tipstipstor
JF-Expert Member
- Nov 29, 2021
- 1,528
- 3,352
Sawa sawa leo nashusha vipande vinne mkuu mchana na jioni
Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile ap
Naweza kusema story nyingi huwa ni za kutengeneza, naona hivo kabisa...kwahiyo hapo kwenye kufunga (Conclusion) wengi wao huwa wanachemka anaamua kusepa tu[emoji23][emoji23][emoji23]Asante sana ndugu stori ina sisimua sana kila ikiisha epsod unatamani ingendelea .... ila nina swali huwa najiuliza why waleta stori wengi huwa wana pata dharura mara kwa mara kuna stori nyingi Sana humu jf ila waleta uzi wengi wanapata emergency... mwenye majibu plz
Natamani Sana kufahamu jinsi ulivyojinasua kwenye mtego wa Fetty...Sawa sawa leo nashusha vipande vinne mkuu mchana na jioni
Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Naweza kusema story nyingi huwa ni za kutengeneza, naona hivo kabisa...kwahiyo hapo kwenye kufunga (Conclusion) wengi wao huwa wanachemka anaamua kusepa tu[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji2][emoji2][emoji2].... Hivi unajua mkuu, ili uwe muongo mzuri usiwe mtu wa kusahau mapema pia...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We jamaa kama kuna MBINGU basi utafika ukiwa hoi bin taaban
Na kutokusahau mapema nako nikipaji maana kuna wadau humu wanaenda na uziwako nkta kwa nukta ... yani mguu kwa mguuu [emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2].... Hivi unajua mkuu, ili uwe muongo mzuri usiwe mtu wa kusahau mapema pia...[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimeacha kusoma baada ya kuskia ktk nyumba ya majini kuna flat screen[emoji2][emoji2]. Majini wana kisimbuzi gani sasa.
[emoji23][emoji23][emoji23]"Ikakubidi upoteze faham"
Mkuu tuendele,weekend hii
[emoji23][emoji23][emoji23]Na kutokusahau mapema nako nikipaji maana kuna wadau humu wanaenda na uziwako nkta kwa nukta ... yani mguu kwa mguuu [emoji23][emoji23]
Wajifunze kwny uzi wa kula tunda kimasihara stori huwa hazilaliAsante sana ndugu stori ina sisimua sana kila ikiisha epsod unatamani ingendelea .... ila nina swali huwa najiuliza why waleta stori wengi huwa wana pata dharura mara kwa mara kuna stori nyingi Sana humu jf ila waleta uzi wengi wanapata emergency... mwenye majibu plz
Mimi hili siwez kulizungumzia, kwasababu sijawahi kuyaona maisha ya majini .... [emoji23][emoji23][emoji23]Nimeacha kusoma baada ya kuskia ktk nyumba ya majini kuna flat screen[emoji2][emoji2]. Majini wana kisimbuzi gani sasa.
Salome ndio alniokoa na ndie mke wangu hv sasaNatamani Sana kufahamu jinsi ulivyojinasua kwenye mtego wa Fetty...
Sikunyingine jifunze kujibu hoja kwa hoja eb fikiria na mimi ningekuwa na povu kama wewe hapa c tungeishia kutukanana kwanz ukizingatia hunijui just una attack tu ... mwisho wa siku hapa ni jf kuna watu wengi na hatuwezi kufanana kimawazo na huo ndo ubinadamuMashoga ka nyie ni kuua tu
Ilete Sasa fazaaaa
Mkuu nimekosea ku quote comments ngoja nijaribu ku deleteSikunyingine jifunze kujibu hoja kwa hoja eb fikiria na mimi ningekuwa na povu kama wewe hapa c tungeishia kutukanana kwanz ukizingatia hunijui just una attack tu ... mwisho wa siku hapa ni jf kuna watu wengi na hatuwezi kufanana kimawazo na huo ndo ubinadamu
Acha kuongopea watu hakuna jini mwema.Mungu amewazungumzia majini kwenye kitabu kitakatifu cha Quran pale alipoelezea maisha ya Nabii Mfalme Suleyman bin Daud, wazungu wanamuita King Solomon.Kuwa Majini ni mafundi wajenzi wakubwa sana na pia ni wasanifu ktk kuunda!
Mfalme Suleyman alipewa uwezo na Mungu kuwatumia hawa kumsaidia kufanya kazi ktk maisha yake na walimjengea miundo mbinu mikubwa mno ktk ustawi wa Ufalme wake, Majengo makubwa yakiwemo Makasri ya mfalme Suleyman yalijengwa na majini .Yana uwezo wa kupiga kazi usiku na mchana mfululizo, pia ni great Divers (Wazamiaji) walimsaidia kumletea vito vingi vya thamani kutoka chini kabisa ya bahari ambapo mwanadamu hawezi kufika.Pia idadi yao ni kubwa kuliko sisi wanaadamu.
Majini wana uwezo wa kuishi miaka mingi zaidi ya mwanadamu, infact anaweza akashuhudi vizazi vyako hata vitano baada ya wewe kuondoka hapa ulimwenguni. Maskani yao kubwa ni baharini, ndio ..hii bahari tunayoiona ndani yake ina miji,majumba na kila kitu kama tunavyoishi sisi ktk mgongo wa ardhi, Majini yana uwezo wa kusafiri kwa kasi ya kufumba na kufumbua jicho ameshakwenda na kurudi mahala anapopataka. Wana uwezo wa kupaa angani na wengine wanaishi ardhini kwenye mgongo wa ardhi, kwenye misitu mikubwa na wengine wanaishi ndani ya ardhi chini kwenye mapango marefu.
Pia wana milki aka falme na koo kama tulivyosisi huku dunia.Kuna koo zao nyingine zina nguvu, zinaogopeka kwa nguvu na utajiri na nyingine ni za kawaida. Pia katika ulimwengu wao wapo walioasi yaani wabaya na hawa huitwa MASHETANI na pia wapo WEMA. Kiuhalisia Jini anatakiwa aishi maisha yake asimuingilie mwanadamu ktk kufanya maamuzi au kumahurutisha ktk maisha yake maana Mungu hajaumba nafsi mbili ktk kiwiliwili kimoja. So kitendo cha kumkalia mwanadamu ktk mwili wake kama kumfosi kimapenzi au kumfosi awe mganga au mchawi huku kunatafsirika kama UASI na jini huyo anabadilika na kuwa Shetani, na hapo inabidi atolewe kinguvu ili asiyaharibu maisha ya mwanadamu huyo.
Tunasoma tu kamba zake lakin begi kujaa milioni moja huu ni uongo alfu mbona huyo jini alikua masikini sanaBila shaka begi linaweza kujaa M1 tu au huyo jini alikua condacta akaweka chenchchench za kutosha?