Siku niliyokutana na jini kwenye daladala

Siku niliyokutana na jini kwenye daladala

Asante sana ndugu stori ina sisimua sana kila ikiisha epsod unatamani ingendelea .... ila nina swali huwa najiuliza why waleta stori wengi huwa wana pata dharura mara kwa mara kuna stori nyingi Sana humu jf ila waleta uzi wengi wanapata emergency... mwenye majibu plz
Mbona iko wazi? Wewe kisa kirefu kama hiki utakaa ukiandike kwa siku moja? Huna kazi nyingine za kufanya? Hata wewe najua hushindi jf muda wote sasa iweje mtu ashinde jf muda wote kisa anahadithia kisa cha maisha yake. Hata redioni huwa hawamalizi kuhadithia kwa siku moja na hapo wanaongea tu,je kuandika!?
 
Mbona iko wazi? Wewe kisa kirefu kama hiki utakaa ukiandike kwa siku moja? Huna kazi nyingine za kufanya? Hata wewe najua hushindi jf muda wote sasa iweje mtu ashinde jf muda wote kisa anahadithia kisa cha maisha yake. Hata redioni huwa hawamalizi kuhadithia kwa siku moja na hapo wanaongea tu,je kuandika!?
Ila kuna watu ni wazuri ktk kuandika imagine mtu kesha pangilia kabisa itakuwa sehem 28? .... kwahiyo kwa luga rahisi anatusisitiza tuendelee kupiga mtori nyama tutazikuta chini
 
Dah una bahati sana mkuu,jini kakupa gari,simu janja n.k lakini kazingua sehemu Moja ,ni kwanini akupe million 1 tu wakati ana uwezo wa kupata Kila kitu?

Million moja unafanya biashara gani.[emoji1787][emoji1787]

Sema nini ,inaonekana mlishaachana kwahiyo jini Fetty ni ex wako si ndiyo?

Na Mimi naitaka hiyo nafasi kwa jini fetty.kwasababu we muoga halafu siyo mjanja we Smart phone tu huwezi kutumia ndiyo maana ukawa unampa tabu jini wa watu,oooh sorry jini wa majini [emoji23][emoji23][emoji23]

Je, kwenye faragha yenu jini alikuwa akipendelea style ipi?

Ya tozo,ya Ndugai kujiuzulu,au ya presenter Mina ally? Na Kuna hii mpya ya wema kukosa private car akitumia sana Uber.

Jini Fetty alipendelea ipi ?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]

Mimi namtaka Fetty japo Nina sura ya Robert Mugabe siyo kesi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]

Maana mwenzangu ulipendewa uhandsome
 
Binafsi nimeshuhudia kwa dada yangu kuna kipindi alikuwa nayo ...na yalikuwa yanamletea pesa, yanamwambia nenda kafungue sehemu fulani chumbani utakuta pesa ,akifika akifungua anakuta kweli pesa. Alikuwa akichelewa shule kutokana na tabu za usafiri...basi atashangaa tuu gari linakuja linapaki linamwambia pakia twende anapelekwa shule.

Sometimes akienda dukani anaweza akaja mama wa kiarabu ananukia anamsalimia akiondoka baadae anakuja kumuiliza unajua aliyekusalimia pale dukani ? Linamwambia ni yeye jini. So thwy are weird wanatuona ila sisi tumenyimwa uwezo wa kuwaona. Sometimes wanaweza kuja ktk maumbile ya paka mweusi au hata mbwa.

Kuna muda yalikuwa yanataka kumpeleka huko ujinini chini ya bahari aende akatembee. Kwa asiyeyajua anaweza akadhania ni CHAI ila ni uhalisia ambao upo. Baadae alifanyiwa tiba yakatolewa yote mwilini mwake maana sometimes yalikuwa yanaweza kumkalia mwilini mwanzo wa asubuhi mpk usiku anakuwa sio yeye. So yalikuwa yanamuumiza.
Nimeogopa eti
 
Dah una bahati sana mkuu,jini kakupa gari,simu janja n.k lakini kazingua sehemu Moja ,ni kwanini akupe million 1 tu wakati ana uwezo wa kupata Kila kitu?

Million moja unafanya biashara gani.[emoji1787][emoji1787]

Sema nini ,inaonekana mlishaachana kwahiyo jini Fetty ni ex wako si ndiyo?

Na Mimi naitaka hiyo nafasi kwa jini fetty.kwasababu we muoga halafu siyo mjanja we Smart phone tu huwezi kutumia ndiyo maana ukawa unampa tabu jini wa watu,oooh sorry jini wa majini [emoji23][emoji23][emoji23]

Je, kwenye faragha yenu jini alikuwa akipendelea style ipi?

Ya tozo,ya Ndugai kujiuzulu,au ya presenter Mina ally? Na Kuna hii mpya ya wema kukosa private car akitumia sana Uber.

Jini Fetty alipendelea ipi ?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]

Mimi namtaka Fetty japo Nina sura ya Robert Mugabe siyo kesi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]

Maana mwenzangu ulipendewa uhandsome
Sema mie ntashindwa hapo kwny gambe dadeki yan anipe mpunga afu nisilewe weekend ntakua nafanya nini sasa....
 
Mleta mada anaweza akawa anasimulia kama story ya ukweli au sio ya kweli ila anayoyazungumza ndani yake yana uhalisia kuhusiana na ulimwengu wa majini. Ukipendwa na Jini la kike ni shida sana,yana wivu balaa hayataki mwanamke mwingine wa kibinadamu akusogelee. Unaweza hata usipate nguvu za tendo unapokuwa na mwanamke mwingine ila ukiwa mwenyewe unajiona ni mzima kabisa.

Ni hivi yamepewa uwezo ya kutembea katika mwili wa mwanadamu.Mwili wa mwanadamu una njia , yanamzunguka mwanadamu kupitia mishipa ya damu so ana uwezo wa kukaa ubavuni,kwenye kichwa ,kwenye ncha za vidole ,n.k

ILA HAYAWEZI KUMDHURU MWANADAMU MPAKA MUNGU ATAKE KUKUPA TU MTIHANI .

Licha ya kuwa Majini yamepewa nguvu dhidi ya mwanadam bado Mungu amemuwekea mwanadamu ulinzi mkubwa wa MALAIKA WA TANO! Kuhakikisha hakuja kitakachomdhuru mwanadamu mpk YEYE mwenyewe aridhie kumfanyia mtihani mwanadamu huyo.
Una kitu mnajimu
 
Kuna anko wangu alinisimulia kuwa alienda kumfata jamaa nyumbani kwake akafunguliwa mlango na mwanamke (mke wa huyo jamaa) akamjibu kuwa mwenyewe amelala , alivyoondoka mbele anakutana na jamaa huyo huyo anatoka kwenye mizunguko yake ,akamuuliza kuwa nimekuja kwako nimeambiwa umelala ,jamaa akashangaa akamwambia mi mbona muda sipo nyumbani na mke wangu amesafiri ,mlango nineondoka nimeufunga....jamaa akashindwa kuelewa huenda alikuwa ni jini ama laa.

Pia kuna ndugu mmoja alinunua kiwanja akajenga nyumba , ila ile nyumba ilikuwa haikaliki .alimuweka ndugu yakee mmoja akae ila anasema alikuwa akikaa anaona kuna mwanamke anapita humo ndani usiku na mchana. Ila akienda kumtazama hamuoni. Baadae akaja kufatilia akaambiwa kuwa hilo eneo kabla hajalinunua alikuwa akiishi huyo jini so anagoma kutoka cuz pale anapaona ni sehemu yake.
Brother una kitu, kuna vitu umesema inafikirisha endelea kutufungua
 
Niliwahi weka humu zaidi ya miaka nane, (nafupisha sana) kwangu ilikuwa tofauti. yeye ili nionane nae lzm nilale usingizi ndio nakuwa nae ilifika mahali hata stand ya basi nitasinzia kama anataka tuwe wote uzuri hakuna wa kusumbua wala kuniibia.

Kuna mahali nilikuwa nafanya kazi nikamwambia mlinzi wa wapo khs hii hali akaniambia atanisaidia dawa.
nikiachana na huyo binti nae anakuja ananiambia kwani mimi sikutoshi hadi utafute wanawake wengine? nikaona hapa sasa nadhalilika.
Mkuu noma sana dah masimulizi yanaleta hadi msisimuko this shit kumbe ipo aisehhh dah, je baada ya kuachana nini kilighalimu hasa
 
Inaonekana huyo jini alikua danga yaan katembea na Babu Hadi mjukuu???? [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848] Mbona inanitisha hii. Na inaonekana mliachana baada ya kugundua ni jini danga
 
SEHEMU YA 09
****************************************
Ilipoishia ni pale fetty amekuja nyumbani pale amekuja na gari aina ya v8 amesema gari ilo nimepewa liwe langu na babaake na ameniambia wazazi wake wamefurahia mimi kwenda kuwaona kule ujinini japo nilikuwa naona kama naota kumbe nilienda kweli ujinini kule,
Na pia fetty akaniambia kuwa sasa tupo kwenye vita kubwa mno na adui yetu ni salome?
SEHEMU YA 10
****************************************
Ilipoishia ni pale nimepewa gari na fetty pia ndani ya gari nikakuta begi jeusi kubwa ndani lilikuwa na shs millioni moja pamoja na simu kubwa aina ya samsung smartphone,
Na pia ni pale nilipoongea na fetty akaniambia kesho anakuja na tunahama tunaenda kuishi masaki huku pia akisema kuwa tupo katika vita kubwa na salome sasa endelea,

#####
Simu ya salome ilinishtua sana nikasema salome ananipigia nn tena?
Ikabidi nipokee hallow mambo vp aliniambia salome,
Salama sijui ww huko?

Nilimjibu akaendelea kusema rafiki kuna mambo makubwa kila siku mungu ananionyesha juu yako upo katika wakati mbaya sana nikamuuliza kvp akaendelea kusema maisha yako yapo mikoni mwako kama utaniamini achana na fetty mrudie mungu wako anza kwenda kanisani hau ukiruhusu mimi nije hapo kwako nikuombee nitakwambia kila kitu,
Maneno ya salome yalinishtua sana lakini ghafla nikaona namzarau tu nikamwambia kata umekosa cha kuongea naomba usije nitafuta tena ukaongea huo ujinga wako wa kila siku nikata kata simu na kushusha pumzi ndefu huuuuuh leo tena huyu salome anataka nn kwangu?

Nikawa najiuliuza moyoni basi nikajisemea moyoni huyu mwanamke ananitaka kilazima huyu ndugu msomaji unajua mda mwingine nadhani yule jini fetty kuna vitu alinifanyia kwenye akili yangu yaani nilikuwa naona kama salome ananiambia maneno ya kijinga mno nikawa nahisi ananitaka kilazima tu,

Basi siku hiyo kwangu ilipita vizuri na kama kawaida usiku tulikuwa tunawasiliana na fetty alinipigia simu usiku wa siku hiyo tuliongea sana mambo mbali mbali nakumbuka usiku wa siku hiyo fetty aliniambia kesho tunahamia masaki rasmi nitakuja asubuhi mapema nikamwambia sawa ila nikamuuliza masaki tunaenda kwa nani akasema ondoa shaka mimi kesho nikija utajua kila kitu nikasema sawa,
Kweli asubuhi nimeamka pale nikawa nasalimiana na wapangaji wenzangu pale nikawa nawaaga kuwa sasa nahama hapo daaah wapangaji wengi walijawa wana masikitiko sana ila mmoja wa wapangaji wenzangu akaniuliza unahamia wapi nikawambia masaki akasema duh ongera sana masaki ni pakishua huko naona mambo sasa sio mabaya[emoji1]

Basi baada ya masaa kidogo wife akawa amekuja na safari hiyo fetty alikuja akiwa ameongozana na dada mmoja hivi nisiemfahamu akafika pale akasalimia wapangaji pale akawa ameingia ndani na yule mgeni ambae baadae alijitambulisha kuwa huyo ni rfk ake alikuwa ni mdada mmoja mzuri kweli nae alikuwa amevaa kiostadhat yeye alikuwa mweusi ila ana weusi flani wa kung,aa basi akaniambia fetty leo ndio tunahama hapa inabidi uchukue vitu vyako vya muhimu vingine unaweza wapa tu wapangaji suala lililonishangaza sana akaendelea kusema unaenda sasa kuishi maisha mengine kwahiyo sidhani kama kuna ulazima wa kubeba vitu vyote kama kitandani sijui vyombo hau godoro nikasema sasa hivi vitu tunaviweka wapi akacheka kidogo akaendelea kwani hauna rfk?

Umpe tu hapo nikamkumbuka broo mussa nikampigia nikamwambia bro. Njoo nyumbani kweli muda sio muda akafika ikabidi nimwambie kila kitu mimi nahama hapa ww kuna vitu nakuachia hapa kama kitanda na godoro na vyombo vyombo vichukue tu maskini bro mussa ni kijana nae anaepambana na maisha akuamini kuachiwa vitu kama hivyo alifurahi sana kweli nilichukua vitu vya muhimu pale na maelekezo yote nilimuachia bro mussa na funguo za chumba nilimpa yeye amkabidhi baba mwenye nyumba kuwa mimi nimeshahama kweli tuondoka kwa lile gari aina ya v 8 ambalo alinilitetea fetty alikuwa akiendesha gari lile tukaondoka sasa maisha yangu ya kuanza kuishi mjini masaki yakaanza tulifika baada ya masaa kadhaa masaki sikuamini niliposhuhudia tukifunguliwa gheti lilikuwa ni bonge moja la jumba kubwa niliposhuka kwenye gari fetty akanibusu

Akaniambia karibu kwangu hii nyumba nilijenga mda mrefu hapa alikuwa anakaa huyu rafiki angu kwa muda wote nikamwambia sawa ila ndugu msomaji sikuwahi kuwaza ipo siku nitakuja kukaa kwenye jumba kubwa kama lile basi tukaingia ndani ilikuwa ni nyumba ambayo unapanda kwa ngazi bonge moja la jumba nilikuwa naona kama naota mule ndani ya nyumba kulikuwa na vyumba sita nilikuja kuvijua baada ya kuelezwa na fetty katika vyumba sita chumba kimoja alikuwa akiishi huyo rfk ake fetty ambae baadae baada ya kuzoeana nae nilikuja kugundua yeye hakuwa jini ni binadamu kama mimi tu na alikuwa akiitwa mwajabu hapa kwa mwajabu kukutana na fetty ni stori ndefu mno tena sana kwann mwajabu binadamu kama mimi ameweza kuwa na urafiki na jini na aliniambia wana urafiki wa miaka 10 sasa na fetty amemsadia vya kutosha haya yote niliyajua baada ya kuzoeana na mwajabu katika kupiga piga stori kwa leo niishe hapa sehemu inayokuja utajua kila kitu na sasa simulizi imefika sehemu patamu sana

Muendelezo leo usiku

MUENDELEZO Soma Siku niliyokutana na jini kwenye daladala
 
SEHEMU YA 10
****************************************
Ilipoishia ni pale nimepewa gari na fetty pia ndani ya gari nikakuta begi jeusi kubwa ndani lilikuwa na shs millioni moja pamoja na simu kubwa aina ya samsung smartphone,
Na pia ni pale nilipoongea na fetty akaniambia kesho anakuja na tunahama tunaenda kuishi masaki huku pia akisema kuwa tupo katika vita kubwa na salome sasa endelea,
#####
Simu ya salome ilinishtua sana nikasema salome ananipigia nn tena?
Ikabidi nipokee hallow mambo vp aliniambia salome,
Salama sijui ww huko?
Nilimjibu akaendelea kusema rafiki kuna mambo makubwa kila siku mungu ananionyesha juu yako upo katika wakati mbaya sana nikamuuliza kvp akaendelea kusema maisha yako yapo mikoni mwako kama utaniamini achana na fetty mrudie mungu wako anza kwenda kanisani hau ukiruhusu mimi nije hapo kwako nikuombee nitakwambia kila kitu,
Maneno ya salome yalinishtua sana lakini ghafla nikaona namzarau tu nikamwambia kata umekosa cha kuongea naomba usije nitafuta tena ukaongea huo ujinga wako wa kila siku nikata kata simu na kushusha pumzi ndefu huuuuuh leo tena huyu salome anataka nn kwangu?
Nikawa najiuliuza moyoni basi nikajisemea moyoni huyu mwanamke ananitaka kilazima huyu ndugu msomaji unajua mda mwingine nadhani yule jini fetty kuna vitu alinifanyia kwenye akili yangu yaani nilikuwa naona kama salome ananiambia maneno ya kijinga mno nikawa nahisi ananitaka kilazima tu,
Basi siku hiyo kwangu ilipita vizuri na kama kawaida usiku tulikuwa tunawasiliana na fetty alinipigia simu usiku wa siku hiyo tuliongea sana mambo mbali mbali nakumbuka usiku wa siku hiyo fetty aliniambia kesho tunahamia masaki rasmi nitakuja asubuhi mapema nikamwambia sawa ila nikamuuliza masaki tunaenda kwa nani akasema ondoa shaka mimi kesho nikija utajua kila kitu nikasema sawa,
Kweli asubuhi nimeamka pale nikawa nasalimiana na wapangaji wenzangu pale nikawa nawaaga kuwa sasa nahama hapo daaah wapangaji wengi walijawa wana masikitiko sana ila mmoja wa wapangaji wenzangu akaniuliza unahamia wapi nikawambia masaki akasema duh ongera sana masaki ni pakishua huko naona mambo sasa sio mabaya[emoji1]
Basi baada ya masaa kidogo wife akawa amekuja na safari hiyo fetty alikuja akiwa ameongozana na dada mmoja hivi nisiemfahamu akafika pale akasalimia wapangaji pale akawa ameingia ndani na yule mgeni ambae baadae alijitambulisha kuwa huyo ni rfk ake alikuwa ni mdada mmoja mzuri kweli nae alikuwa amevaa kiostadhat yeye alikuwa mweusi ila ana weusi flani wa kung,aa basi akaniambia fetty leo ndio tunahama hapa inabidi uchukue vitu vyako vya muhimu vingine unaweza wapa tu wapangaji suala lililonishangaza sana akaendelea kusema unaenda sasa kuishi maisha mengine kwahiyo sidhani kama kuna ulazima wa kubeba vitu vyote kama kitandani sijui vyombo hau godoro nikasema sasa hivi vitu tunaviweka wapi akacheka kidogo akaendelea kwani hauna rfk?
Umpe tu hapo nikamkumbuka broo mussa nikampigia nikamwambia bro. Njoo nyumbani kweli muda sio muda akafika ikabidi nimwambie kila kitu mimi nahama hapa ww kuna vitu nakuachia hapa kama kitanda na godoro na vyombo vyombo vichukue tu maskini bro mussa ni kijana nae anaepambana na maisha akuamini kuachiwa vitu kama hivyo alifurahi sana kweli nilichukua vitu vya muhimu pale na maelekezo yote nilimuachia bro mussa na funguo za chumba nilimpa yeye amkabidhi baba mwenye nyumba kuwa mimi nimeshahama kweli tuondoka kwa lile gari aina ya v 8 ambalo alinilitetea fetty alikuwa akiendesha gari lile tukaondoka sasa maisha yangu ya kuanza kuishi mjini masaki yakaanza tulifika baada ya masaa kadhaa masaki sikuamini niliposhuhudia tukifunguliwa gheti lilikuwa ni bonge moja la jumba kubwa niliposhuka kwenye gari fetty akanibusu akaniambia karibu kwangu hii nyumba nilijenga mda mrefu hapa alikuwa anakaa huyu rafiki angu kwa muda wote nikamwambia sawa ila ndugu msomaji sikuwahi kuwaza ipo siku nitakuja kukaa kwenye jumba kubwa kama lile basi tukaingia ndani ilikuwa ni nyumba ambayo unapanda kwa ngazi bonge moja la jumba nilikuwa naona kama naota mule ndani ya nyumba kulikuwa na vyumba sita nilikuja kuvijua baada ya kuelezwa na fetty katika vyumba sita chumba kimoja alikuwa akiishi huyo rfk ake fetty ambae baadae baada ya kuzoeana nae nilikuja kugundua yeye hakuwa jini ni binadamu kama mimi tu na alikuwa akiitwa mwajabu hapa kwa mwajabu kukutana na fetty ni stori ndefu mno tena sana kwann mwajabu binadamu kama mimi ameweza kuwa na urafiki na jini na aliniambia wana urafiki wa miaka 10 sasa na fetty amemsadia vya kutosha haya yote niliyajua baada ya kuzoeana na mwajabu katika kupiga piga stori kwa leo niishe hapa sehemu inayokuja utajua kila kitu na sasa simulizi imefika sehemu patamu sana

Muendelezo leo usiku

Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile app
Daaaah .... Jitahidi usiku mkuu
 
Sikunyingine jifunze kujibu hoja kwa hoja eb fikiria na mimi ningekuwa na povu kama wewe hapa c tungeishia kutukanana kwanz ukizingatia hunijui just una attack tu ... mwisho wa siku hapa ni jf kuna watu wengi na hatuwezi kufanana kimawazo na huo ndo ubinadamu
Mkuu Mungu akuongezee hekima
 
Back
Top Bottom