Siku niliyokutana na jini kwenye daladala

Inaonekana huyo jini alikua danga yaan katembea na Babu Hadi mjukuu???? [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848] Mbona inanitisha hii. Na inaonekana mliachana baada ya kugundua ni jini danga
Hivi viumbe vinaishi miaka 300 hadi 500...so ana uwezo wa kuvishuhudia hadi vizazi vyako 5 baada ya wewe kufa na mara nyingi huwa yanajirithisha..kama alikuwa nayo baba akifa yanahamia kwa mtoto na kuendelea. Wao wamepewa umri tofauti na kizazi cha adamu ambacho kila karne maumbo na umri wetu unazidi kupungua...historia zinaonesha kina Adam na Nuh waliishi miaka zaidi ya 1000...na lilikuwa jambo la kawaida ila vizazi vinavyozidi kwenda mbele ndio umri wetu unazidi kupungua..mpk sasa average ya umri wetu ni miaka 60 tu.
 
Aisee nimetia kambi hapa kila saa nachungulia kama umetupia muendelezo. Na ndio inazidi kunoga. Mkuu hakikisha unaelezea kila kitu hadi jinsi fetty alivyofanya urafiki na rafiki yake. Hata ukitumia mwaka kuhadithia tutaenda pamoja
 
Mkuu noma sana dah masimulizi yanaleta hadi msisimuko this shit kumbe ipo aisehhh dah, je baada ya kuachana nini kilighalimu hasa
Kuna post nimeweka ukifuatiliabe utaona ila alinipeleka juu sana akiwa na wenzake naweza sema ni usawa wa ndege zinakopita akaniuliza nakuchia hapa hadi ufike duniani hautakuwa salama hivyo huu ndio mwisho wako lkn hapo baada ya kutumia dawa fulani kama nia ya kumuondoa.

Mimi nilimsihi asifanye hivyo tuachane kwa amani ingawa wakati huo na wenzie wakinisii nisifanye hivyo.

Kihualisia hakuongeza neno lingine lolote zaidi ya kuwa na sura ya hasira sana. lkn ndani ya mda mfupi nikajikuta kitandani alipokuja kunichukua nikiwa poa.
 
Siyo kweli, huwa wanazingua tu, kila mleta story lazima aseme amepatwa na emergency. Mfano mzuri ni Chizi Maarifa
 
Mpaka hapa nlipo fika nimepata wazo ....unaonaje mtoa uzi ukabadili jina la uzi wako ukaita ... MAMBO USIYO YA JUA KUHUSU MAISHA YA JINI FETTY ...ni wazo tu limenijia
 
Aisee nimetia kambi hapa kila saa nachungulia kama umetupia muendelezo. Na ndio inazidi kunoga. Mkuu hakikisha unaelezea kila kitu hadi jinsi fetty alivyofanya urafiki na rafiki yake. Hata ukitumia mwaka kuhadithia tutaenda pamoja
Sawa mkuu nitawaambia kila kitu ndio maana hii simulizi ina sehemu 28 ni ndefu mno inabidi iendelee pole pole mda mwingine tunapiga epsode 04 nataka nikifika hadi sehemu ya 20 naanza kupost epsode moja kila siku ili tusimalize uondo mapema ni stori ya kweli wadau nimeamua kuwaambia kuwa mambo ya majini yapo na mimi nilikuwaga nakataa ila yaliyonitokea ni funzo tosha

Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…