Hehe napenda story sana ila ziwe nzuri na za kusisimua ndio naweka kambimiss stories......uzi nilikua nauchukulia poa nilivyokua uko ON nikajua itakua story kali tuu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
jana nimeiotea ile story ya lwanda magere.....nimesoma siku nzimaHehe napenda story sana ila ziwe nzuri na za kusisimua ndio naweka kambi
Hahahahaha nzuri sana ile sema alihamishia telegram uko walioenda walienda wakina sie tukabaki na arosto zetu jfjana nimeiotea ile story ya lwanda magere.....nimesoma siku nzima
Watu wa JF uzi wao ukipendwa tu ndio wanaanza kua busy, mara mkewe kuumwa 😀😀😀.Hahahahaha nzuri sana ile sema alihamishia telegram uko walioenda walienda wakina sie tukabaki na arosto zetu jf
Kaamua kula batiWeee pimbi shusha mavitu
Natamani nikutane nae anielezee kwa siku moja tu...Kaamua kula bati
Naamini ni majukumu ya kifamilia yamembana...atarudi kuendeleza sababu alikua kashasema shemeji yetu kajifungua...na mambo huwa mengi kipindi hiki. handsome boy wa jf nimekutetea tena sasa ule bati tena ntakavyokuzibuaNatamani nikutane nae anielezee kwa siku moja tu...
Mwamba anazingua Sana[emoji41]
Nakuona unamtetea home boyNaamini ni majukumu ya kifamilia yamembana...atarudi kuendeleza sababu alikua kashasema shemeji yetu kajifungua...na mambo huwa mengi kipindi hiki. handsome boy wa jf nimekutetea tena sasa ule bati tena ntakavyokuzibua
Ukute Shemeji yetu Fetty kashafanya yake Tena, kampeleka kule Masaki[emoji23][emoji23][emoji23]Naamini ni majukumu ya kifamilia yamembana...atarudi kuendeleza sababu alikua kashasema shemeji yetu kajifungua...na mambo huwa mengi kipindi hiki. handsome boy wa jf nimekutetea tena sasa ule bati tena ntakavyokuzibua
niliona ulivyokua unawaamrisha watu wakae kimya kama wanadhani ni chai[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimeishia pale pale siez enda telegram mimiHahahahaha nzuri sana ile sema alihamishia telegram uko walioenda walienda wakina sie tukabaki na arosto zetu jf
Sina app ya telegram nidownload tu sababu ya story tulipie buku nimeshindwa kwakweliniliona ulivyokua unawaamrisha watu wakae kimya kama wanadhani ni chai[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimeishia pale pale siez enda telegram mimi
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Majini walikuwepo enzi na enzi... wanajua mengi na ndio maana wapo kwenye dini ya haki..... Wao wana ufaham na uelewa mkubwa wa mambo.Ila all in all hakuna jini mkristo. Over
Kama majini wako kwenye dini ya haki basi hiyo dini ni ya yule mwovu.Majini ni viumbe waliolaaniwa.Majini walikuwepo enzi na enzi... wanajua mengi na ndio maana wapo kwenye dini ya haki..... Wao wana ufaham na uelewa mkubwa wa mambo.
Kaondoke tu kwani mwisho wa story yake si kashaachana na jiniHaka ka jamaa kanatuonaje lakini? [emoji3]