Mungu wetu ni wa huruma sanaMwanzoni nilidhani hawalali pamoja kwakuwa bado hawajaoana lkn pia wana vita na jini hivyo wakianza kugegedana Sala hazitapokelewa, ghafla jamaa akaanza kuitandika mbususu bila ndoa na Sala zinafanya kazi, mungu ni wa ajabu sana.
Shida ikowapi.. kanisa lipo kuratibisha tu(kama mawakala wengine)Mwanzoni nilidhani hawalali pamoja kwakuwa bado hawajaoana lkn pia wana vita na jini hivyo wakianza kugegedana Sala hazitapokelewa, ghafla jamaa akaanza kuitandika mbususu bila ndoa na Sala zinafanya kazi, mungu ni wa ajabu sana.
Leo nitawajibu ili swali mchana mkuu na nitashusha epsode ya maaanamlifunga ndoa na Salome lini maana mnaishi wote na umeokoka au tuache tu.
DuuhJini wa mchongo nn ??
Hii movie naijua hii.
Hadithi Utamu KoleyaaaKatika Fomula za Maisha kulingana na Hadithi yako
1. Ni ngumu sana Mwanamke kuolewa na Kichaa na Kupata mimba. Ni rahisi sana Mwanaume kuzaa na Kichaa kuliko Mwanamke kuzaa na Kichaa
2. Stori yako ya Jini inafanana kwa Asilimia kubwa na Stori nyingi zilizopita nyuma kila Mwandishi alisema amepelekwa baharini. Jini ana Kwato kama za Ng'ombe n. K n. K
3. Kama Wana JF humu ndani wanafuatilia stori hii basi Washaisikia Kwa Watu wengine pia Stori kama Yako maana Matukio yote yanfanana na Stori za Watu wengi wakisimulia kuhusu majini
Ulisema Ulimpa Jini Mimba Ila Hatujui hiyo Mimba Iliyeyukia wapi
Hivi uliishusha hiyo episode eehh mana nilikuwa bize kdg Leo.Leo nitawajibu ili swali mchana mkuu na nitashusha epsode ya maaana
Kwa nini tena gnaomban niishie hapa hapa...haya ya gamboshi yanipite
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Acha kujibu comments bwana ebu malizia story
Hii story haitaisha mpk atuambie ile mimba aliyompa Fetty ilienda wapi na babu yake kwnn aliuliwa na jini Fetty, hapo itakuwa imeisha salama.Acha kujibu comments bwana ebu malizia story
Huyu aimalizie tu atazidi kutuchosha sanaHii story haitaisha mpk atuambie ile mimba aliyompa Fetty ilienda wapi na babu yake kwnn aliuliwa na jini Fetty, hapo itakuwa imeisha salama.
Jini wa mchongo alikuwa ametetereka kiuchumiTunasoma tu kamba zake lakin begi kujaa milioni moja huu ni uongo alfu mbona huyo jini alikua masikini sana
anakupa ela kama posho za madiwani lak 4 mala milion mojaa
jamaa kamba sana an [emoji2][emoji2][emoji2]
Leo naimaliza pia nitajibu ile mimba ya fetty ilienda wap na kuhusu kisa cha babu msekwaHuyu aimalizie tu atazidi kutuchosha sana
Akae kwa kutulia, ahakikishe hivyo vipande anaviweka.Huyu aimalizie tu atazidi kutuchosha sana
Sawa mkuu fanya hivyo.Leo naimaliza pia nitajibu ile mimba ya fetty ilienda wap na kuhusu kisa cha babu msekwa
Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile app
Uku unamalizia usisahau kumpa shem salome na mtt hi!!