Siku niliyokutana na jini kwenye daladala

Siku niliyokutana na jini kwenye daladala

Mkuu nime Google nimeona hii je? Nipo sahihi? View attachment 2105417
Hapana mkuu yenyewe ni ya zamani ni mwaka 1994 hadi 1996 ila ni tam balaa
(Hii chini ni ya 1996 imagine inautam sawa na crown za saizi)
images (10).jpeg
 
Mungu amewazungumzia majini kwenye kitabu kitakatifu cha Quran pale alipoelezea maisha ya Nabii Mfalme Suleyman bin Daud, wazungu wanamuita King Solomon.Kuwa Majini ni mafundi wajenzi wakubwa sana na pia ni wasanifu ktk kuunda!

Mfalme Suleyman alipewa uwezo na Mungu kuwatumia hawa kumsaidia kufanya kazi ktk maisha yake na walimjengea miundo mbinu mikubwa mno ktk ustawi wa Ufalme wake, Majengo makubwa yakiwemo Makasri ya mfalme Suleyman yalijengwa na majini .Yana uwezo wa kupiga kazi usiku na mchana mfululizo, pia ni great Divers (Wazamiaji) walimsaidia kumletea vito vingi vya thamani kutoka chini kabisa ya bahari ambapo mwanadamu hawezi kufika.Pia idadi yao ni kubwa kuliko sisi wanaadamu.

Majini wana uwezo wa kuishi miaka mingi zaidi ya mwanadamu, infact anaweza akashuhudi vizazi vyako hata vitano baada ya wewe kuondoka hapa ulimwenguni. Maskani yao kubwa ni baharini, ndio ..hii bahari tunayoiona ndani yake ina miji,majumba na kila kitu kama tunavyoishi sisi ktk mgongo wa ardhi, Majini yana uwezo wa kusafiri kwa kasi ya kufumba na kufumbua jicho ameshakwenda na kurudi mahala anapopataka. Wana uwezo wa kupaa angani na wengine wanaishi ardhini kwenye mgongo wa ardhi, kwenye misitu mikubwa na wengine wanaishi ndani ya ardhi chini kwenye mapango marefu.

Pia wana milki aka falme na koo kama tulivyosisi huku dunia.Kuna koo zao nyingine zina nguvu, zinaogopeka kwa nguvu na utajiri na nyingine ni za kawaida. Pia katika ulimwengu wao wapo walioasi yaani wabaya na hawa huitwa MASHETANI na pia wapo WEMA. Kiuhalisia Jini anatakiwa aishi maisha yake asimuingilie mwanadamu ktk kufanya maamuzi au kumahurutisha ktk maisha yake maana Mungu hajaumba nafsi mbili ktk kiwiliwili kimoja. So kitendo cha kumkalia mwanadamu ktk mwili wake kama kumfosi kimapenzi au kumfosi awe mganga au mchawi huku kunatafsirika kama UASI na jini huyo anabadilika na kuwa Shetani, na hapo inabidi atolewe kinguvu ili asiyaharibu maisha ya mwanadamu huyo.
Ok. Katika Ukristo hakuna jini zuri, wote ni mashetani. Viumbe vilivyo laaniwa na Mungu.
 
Ok. Katika Ukristo hakuna jini zuri, wote ni mashetani. Viumbe vilivyo laaniwa na Mungu.
Neno jini ni neno la kiarabu...na neno shetani pia ni neno la kiarabu , so kabla hujaja kukoroga mambo ni lazima ufuatilie maana sahihi kutoka katika lugha usika. Kwanini kunana neno Jini na kwann kuna neno Shetani, Je shetani ni nini na jini ni nini?
 
Neno jini ni neno la kiarabu...na neno shetani pia ni neno la kiarabu , so kabla hujaja kukoroga mambo ni lazima ufuatilie maana sahihi kutoka katika lugha usika. Kwanini kunana neno Jini na kwann kuna neno Shetani, Je shetani ni nini na jini ni nini?
Wote ni viumbe vilivyolaaniwa. Kama unaona jini mzuri ajidhihirishe katika uhalisia wake uone.
 
Mkuu mimi Nina Lexus saloon inafanana na crown ni V8 na cc 4000. Just google Lexus LS 400 utaiona kwa mara ya kwanza maana najua hujawahi kuona na ni chache mno
Kwa mtu wa kawaida ukimwambia V8 unafikr anajua ni.gar gan? sio kwamba sjui hzo gar kama hakuna zipo huon ww hapo umeanza kusema Lexus Saloon which means ukitaja tu V8 kwa nchi yetu hii tunaenda kwenye Landcruizer
 
Wote ni viumbe vilivyolaaniwa. Kama unaona jini mzuri ajidhihirishe katika uhalisia wake uone.
Kujidhirisha katk uhalisia wake ni jambo ambalo Mungu hajatujaalia wanaadamu. Mwanadamu ni kiumbe aliyeumbwa katika umbo zuri sana kuliko viumbe wote. Uzuri wetu haumanishi wema wetu ...cuz hapa Mungu anaangalia mioyo regarless ni jini au mwanaadamu .Ndio maana kuna watu wenye sura na maumbo mazuri sana wanataingia motoni na pia kuna watu wasio na maumbo au sura za kuvutia wataingia peponi. Umbo la asili la jini , sisi wanaadamu hatuwezi kuvumilia kuliangalia , tunaweza kumuangalia jini iwapo atajivesha taswira ya kiumbe kingine .
 
Moja ya kitu ambacho sitaweza kukisahau katika maisha yangu ni siku niliyokutana na jini kwenye daladala nakumbuka ilikuwa ni mwaka 2019 wakati nipo Chanika nilikiwa natoka kariakoo narudi ghetto ilikuwa ni mida ya saa 1 usiku sasa nikiwa kwenye gari akaja mdada mmoja akapanda kwenye dala dala niliyokuwa alikuwa ni mzuri amevaa kiostadhat sasa kutokana na ufinyu wa siti hakupata nafasi ya kukaa sasa sijui ni nini kilinipata uwa sina desturi ya kumuachia mtu siti hata awe mzee hau mgonjwa vipi maana mimi ndio utaratibu niliojiwekea naheshimu sana nauli yangu.

Sasa nikajikuta namuhurumia yule dada nikamwambia njoo ukae hapa mimi nashuka mda sio mrefu akatabasamu na kuja kukaa na kushukuru nikawa nimesimama safari ikaendelea ila niligundua yule dada alikuwa akinitazama kwa kuniibia ibia nikimtazama anajifanya ananipotezea basi safari ikiwa imekolea nikiwa nimekaribia chanika yule dada akaniambia kaka samahani nashukuru kwa moyo wako ulionionyeshea wa kunisaidia kukaa naweza pata nambaako ya simu kama hautojar?

Swali ili lilinishangaaza sana mwanaume yoyote lazima upagawe unapoombwa namba ya simu na mwanamke mrembo unakuwa kama haumini amini nilipatwa na furahaa nikampa akaniambia ahsante mimi naitwa fatmah ww unaitwa nani nikamjibu naitwa flani basi mazungumzo yakata kata hadi niliposhuka mimi sikumfuatilia tena nikaendelea na mishe zangu safari ya kwenda ghetto kwangu sasa nilipofika ghetto ikanibidi nioge halafu nipumzike maana nilikuwa nimechoka sana siku hiyo sasa nikiwa katika wimbi la usingizi mzito nikawa namuota yule dada niliekutana nae kwenye gari alikuwa amekuja kwangu yupo mlangoni anagonga huku akiiniita ww kaka mpolee hodii hoddiii aligonga sana ikabidi niamke niende kumfungulia nikamuona amevaa nguo nyekundu tukasalimiana hapo nipo ndotoni ndio naota hivyo akaingia ndani akaa kwenye sofa tukawa tunapiga stori nikamuuliza

Aisee siamini kwangu umepajuaje akasema aliulizia ulizia mtaani akaelewekezwa halafu isitoshe yeye anaishi karibu na mimi nikamuuliza ww unakaa wapi akasema mimi ni mgenu hapa mtaani nimekuja kwa dadaangu anaitwa sakina nikasema sakini yule mwenye saloon hapo mbele?

Akasema yeeah kumbe unamfahamu nikamwambia yule ni maarufu sana hapa mtaani akatabasamu akawa anafurahi tu chini chini sasa ndoto yangu ilikuja kuaribiwa na panya mmoja ambae aliangusha kitu ipo hivi kipindi nakaa chanika ghetto ghetto langu nilikuwa nasumbuliwa na panya niliwatega na dawa lakini wapi sasa nilishtushwa na kusikia sufulia limedondoka ikabidi niamke kumbe panya kuwasha tochi panya akakimbia ikabidi nicheki simu nakuta ni saa kumbi na mbili na nusu nikasema dah leo nimechelewa sana ikumbukwe nilikuwa na miadi ya kukutana na jamaa mmoja ni fundi mwezangu tulikuwa tuna deal la kwenda kufanya wote na aliniambia inabidi tukutane saa kumi na mbili sasa nikasema nimpigie simu nimepiga akapokea akaniambia mimi nishaondoka nishafika majohe alinigombeza sana unajua ilibidi niongozane nae majohe kulikuwa na deal la kujenga chuo kwa bwana flani

Sasa fundi mkuu akanifokea sana akasema kwa leo dili umelishindwa alinigombeza sana akasema kashatafuta mtu mwingine dah nikabaki mnyonge sana basi nikakata simu nikawa natafakari nini cha kufanya wakati nipo natafakari cha kufanya ghafla simu yangu ikaita kucheki namba ngeni nikajua labda fundi mkuu kabadili mawazo ikabidi niipokee haraka haraka hallow ile nimepokea nakutana na sauti nzuri ya kike hallow kaka mpolee mambo vipi?

Nikamwambia safi nani maana namba ngeni akanijibu mimi yule dada ulienisaidia jana kwenye gari mimi fatmah nikamjibu huku nikitabasamu wooow ww mdada jana nimekuota umekuja kwangu, akacheka sana akaniuliza kwani unataka kuniona kwa leo? Swali lake lilinipa furaha nikamwambia ndio kama vipi leo njoo kwangu japo sijui unaishi maeneo gani? Akanipa jibu lililonishangaza mimi nipo mtaa x hapo naishi kwa dadaangu anaitwa sakina jibu lililonishangaza sana itaendeleeaa........... leo jini wakuu nipo job hapa kidogo ila jioni naendelea japo itachukua wiki moja kuimaliza huu mkasa uliowahi kunikuta ni mkasa wa kweli.


Muendelezo bonyeza link hapo chini>>>

Sehemu ya pili

Sehemu ya tatu

Sehemu ya nne
Sasa kwa nn utaje jina la jini (Fatma)lako usitaje (flani)sijapenda[emoji3][emoji3][emoji3]

Anyway natamani siku moja nione hao majini ua wanafananaje yani maana ua nawasikia tu.
 
Back
Top Bottom