yellow eyes
JF-Expert Member
- Mar 6, 2018
- 2,897
- 3,336
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Lubebenamawe lekagashi bhabha.Mimi mwenyewe ni jini kama vipi nitafute.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Lubebenamawe lekagashi bhabha.Mimi mwenyewe ni jini kama vipi nitafute.
Bange sio nzuri [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi mwenyewe ni jini kama vipi nitafute.
Jini gani anajitambulisha kwa maneno[emoji3][emoji3][emoji3]Mimi mwenyewe ni jini kama vipi nitafute.
NtarudSEHEMU YA 10
****************************************
Ilipoishia ni pale nimepewa gari na fetty pia ndani ya gari nikakuta begi jeusi kubwa ndani lilikuwa na shs millioni moja pamoja na simu kubwa aina ya samsung smartphone,
Na pia ni pale nilipoongea na fetty akaniambia kesho anakuja na tunahama tunaenda kuishi masaki huku pia akisema kuwa tupo katika vita kubwa na salome sasa endelea,
#####
Simu ya salome ilinishtua sana nikasema salome ananipigia nn tena?
Ikabidi nipokee hallow mambo vp aliniambia salome,
Salama sijui ww huko?
Nilimjibu akaendelea kusema rafiki kuna mambo makubwa kila siku mungu ananionyesha juu yako upo katika wakati mbaya sana nikamuuliza kvp akaendelea kusema maisha yako yapo mikoni mwako kama utaniamini achana na fetty mrudie mungu wako anza kwenda kanisani hau ukiruhusu mimi nije hapo kwako nikuombee nitakwambia kila kitu,
Maneno ya salome yalinishtua sana lakini ghafla nikaona namzarau tu nikamwambia kata umekosa cha kuongea naomba usije nitafuta tena ukaongea huo ujinga wako wa kila siku nikata kata simu na kushusha pumzi ndefu huuuuuh leo tena huyu salome anataka nn kwangu?
Nikawa najiuliuza moyoni basi nikajisemea moyoni huyu mwanamke ananitaka kilazima huyu ndugu msomaji unajua mda mwingine nadhani yule jini fetty kuna vitu alinifanyia kwenye akili yangu yaani nilikuwa naona kama salome ananiambia maneno ya kijinga mno nikawa nahisi ananitaka kilazima tu,
Basi siku hiyo kwangu ilipita vizuri na kama kawaida usiku tulikuwa tunawasiliana na fetty alinipigia simu usiku wa siku hiyo tuliongea sana mambo mbali mbali nakumbuka usiku wa siku hiyo fetty aliniambia kesho tunahamia masaki rasmi nitakuja asubuhi mapema nikamwambia sawa ila nikamuuliza masaki tunaenda kwa nani akasema ondoa shaka mimi kesho nikija utajua kila kitu nikasema sawa,
Kweli asubuhi nimeamka pale nikawa nasalimiana na wapangaji wenzangu pale nikawa nawaaga kuwa sasa nahama hapo daaah wapangaji wengi walijawa wana masikitiko sana ila mmoja wa wapangaji wenzangu akaniuliza unahamia wapi nikawambia masaki akasema duh ongera sana masaki ni pakishua huko naona mambo sasa sio mabaya[emoji1]
Basi baada ya masaa kidogo wife akawa amekuja na safari hiyo fetty alikuja akiwa ameongozana na dada mmoja hivi nisiemfahamu akafika pale akasalimia wapangaji pale akawa ameingia ndani na yule mgeni ambae baadae alijitambulisha kuwa huyo ni rfk ake alikuwa ni mdada mmoja mzuri kweli nae alikuwa amevaa kiostadhat yeye alikuwa mweusi ila ana weusi flani wa kung,aa basi akaniambia fetty leo ndio tunahama hapa inabidi uchukue vitu vyako vya muhimu vingine unaweza wapa tu wapangaji suala lililonishangaza sana akaendelea kusema unaenda sasa kuishi maisha mengine kwahiyo sidhani kama kuna ulazima wa kubeba vitu vyote kama kitandani sijui vyombo hau godoro nikasema sasa hivi vitu tunaviweka wapi akacheka kidogo akaendelea kwani hauna rfk?
Umpe tu hapo nikamkumbuka broo mussa nikampigia nikamwambia bro. Njoo nyumbani kweli muda sio muda akafika ikabidi nimwambie kila kitu mimi nahama hapa ww kuna vitu nakuachia hapa kama kitanda na godoro na vyombo vyombo vichukue tu maskini bro mussa ni kijana nae anaepambana na maisha akuamini kuachiwa vitu kama hivyo alifurahi sana kweli nilichukua vitu vya muhimu pale na maelekezo yote nilimuachia bro mussa na funguo za chumba nilimpa yeye amkabidhi baba mwenye nyumba kuwa mimi nimeshahama kweli tuondoka kwa lile gari aina ya v 8 ambalo alinilitetea fetty alikuwa akiendesha gari lile tukaondoka sasa maisha yangu ya kuanza kuishi mjini masaki yakaanza tulifika baada ya masaa kadhaa masaki sikuamini niliposhuhudia tukifunguliwa gheti lilikuwa ni bonge moja la jumba kubwa niliposhuka kwenye gari fetty akanibusu
Akaniambia karibu kwangu hii nyumba nilijenga mda mrefu hapa alikuwa anakaa huyu rafiki angu kwa muda wote nikamwambia sawa ila ndugu msomaji sikuwahi kuwaza ipo siku nitakuja kukaa kwenye jumba kubwa kama lile basi tukaingia ndani ilikuwa ni nyumba ambayo unapanda kwa ngazi bonge moja la jumba nilikuwa naona kama naota mule ndani ya nyumba kulikuwa na vyumba sita nilikuja kuvijua baada ya kuelezwa na fetty katika vyumba sita chumba kimoja alikuwa akiishi huyo rfk ake fetty ambae baadae baada ya kuzoeana nae nilikuja kugundua yeye hakuwa jini ni binadamu kama mimi tu na alikuwa akiitwa mwajabu hapa kwa mwajabu kukutana na fetty ni stori ndefu mno tena sana kwann mwajabu binadamu kama mimi ameweza kuwa na urafiki na jini na aliniambia wana urafiki wa miaka 10 sasa na fetty amemsadia vya kutosha haya yote niliyajua baada ya kuzoeana na mwajabu katika kupiga piga stori kwa leo niishe hapa sehemu inayokuja utajua kila kitu na sasa simulizi imefika sehemu patamu sana
Muendelezo leo usiku
[emoji1][emoji1][emoji1]Jini gani anajitambulisha kwa maneno[emoji3][emoji3][emoji3]
Eeeh maana mm ninachojua yaan hata uulizi utaona t matendo yake mauzauza yani[emoji23]yaan hata haeleweki
Wee fetty nini?Kujidhirisha katk uhalisia wake ni jambo ambalo Mungu hajatujaalia wanaadamu. Mwanadamu ni kiumbe aliyeumbwa katika umbo zuri sana kuliko viumbe wote. Uzuri wetu haumanishi wema wetu ...cuz hapa Mungu anaangalia mioyo regarless ni jini au mwanaadamu .Ndio maana kuna watu wenye sura na maumbo mazuri sana wanataingia motoni na pia kuna watu wasio na maumbo au sura za kuvutia wataingia peponi. Umbo la asili la jini , sisi wanaadamu hatuwezi kuvumilia kuliangalia , tunaweza kumuangalia jini iwapo atajivesha taswira ya kiumbe kingine .
Zimefika mkuu ntajitahidi niikimbike chapu hadi tufike sehemu ya kumi na 15 ndani ya hizi wikiendi ya leo na jpliShusha nondo mkuu..... Maana naonaa umeanza kuwa mwanasiasa Kila siku una haidi utaleta ila unakua mzito Broo. Jitahidi japo tunajua majukumu yanakusonga. Ila mpe hai shemeji salome
wewe jamaa ushakuwa jau sikuhiz... wadau wanakuvumilia tuh siku wakikukataa utajua upeleke wapi uzi wakoSEHEMU YA 12
****************************************
Maisha yangu ya kimapenzi na fetty yaliendelea kwa kasi ya ajabu mno moyoni nikawa nasema kuwa mimi na fetty hatutaweza kuachana kamwe nilijikuta nazidi kumpenda jini fetty licha kuwa nilijua sio binadamu ila upendo wake kwangu ulinidatisha sana, niliweza kukaa kwa muda mrefu pale ghorofani kwa fetty masaki pamoja na fetty na yule rafk ake fetty mwajabu sasa nakumbuka siku moja tupo tunapiga stori na mwajabu ikabidi nimuulize swali, mwajabu toka nimefahamiana na ww sijawahi kukuona na shemeji hau ndugu kuja kukutembelea hapa akacheka sana halafu akaniambia ndugu zangu hawataki kabisa kuja hapa, nikamuuliza kwann akasema washatambua kuwa fetty ni jini kwahyo wamenitenga kabisa japo wanaonipa sapoti na matumaini ni baba na mama tu ndugu wengine wamenitenga kisa fetty maneno yake yalinipa upole wa ghafla wa mwili nilikuwa namuhurumia akaendelea kusema usijali lakn shem basi siku hiyo ikawa imepita sasa nakumbuka nikiwa kama kawaida nipo na biashara zangu dukani pale kariakoo nilipigiwa simu na fetty akaniambia kuwa leo anaweza kwenda nyumbani kwao na atakaa mwezi mmoja huko alikuwa akiniaga huku ana majonzi nikamwambia mke wangu naona nije nikuage basi maana nitakumiss sana akasema sawa njoo ile amekata simu nilijikuta ghafla kama nimeyayushwa sipo lile eneo nililiokuwepo kariakoo najikuta nipo nyumbani tayari yaani ilichukua sekunde 5 umbali wa kutoka kariakoo wa mimi kufika masaki nilisema this is funny nilijua tu jini fetty kashafanya mautundu yake nilipanda ngazi hadi ndani nikamkuta fetty pale amekaa kwenye kochi nilimfuata na kumbusu nikamwambia aisee ww mwanamke kiboko leo umenipaisha kama ndege akawa anacheka tu, basi akaniambia anaenda nyumbani amepewa taarifa kuna mambo haypo sawa kwahyo atakaa huko mwezi mmoja aliniambia nisimamie vizuri duka la kule kariakoo pia akaniambia nisijechepuka nikamjibu siwezi kukusaliti mke wangu,
Sasa siku hiyo fetty akawa ameondoka kule kwao sasa maisha yakaendelea kama siku 2 hivi nakumbuka ulikuwa ni usiku nimetoka zangu kazini nipo sebureni nilikuwa naangalia muvi pale sasa shem mwajabu akawa amekuja pale nilipo tukawa tunapiga stori nipo pale sasa mwajabu alikuwa siku hiyo amevaa kanguo kafupi kweli ni mwanamke mzuri ambae hakuna mwanaume yoyote anaweza kuvumilia kumuona vile mwajabu bila kumtamani sasa nikajikuta tu nimeanza kummezea mate mwajabu nakumbuka sijui nn kiliendelea nilijikuta nipo kitandani na mwajabu rafk ake jini fetty tunafanya mapenzi mwajabu alikuwa ni mwanamke mtamu haswa na anaejua mapenzi mno sasa nakumbuka wakati tupo tunafanya mapenzi nilianza kusikia harufu kama ya udi ikitawala katika kile chumba ilikuwa ni udi mzito mno nikamwambia mwajabu nasikia harufu ya udi cha ajabu mwajabu akawa anasema mbona yeye hasikii kitu kilichonishangaza akaniambia tuendelee mimi bado basi tukawa tunaendelea na mapenzi pale oooh mwajabu alikuwa akigugumia kwa sauti ni mwanamke ambae alikuwa hajaguswa mda mrefu mno alikuwa akilia kwa utamu wa hali ya juu sasa wakati tupo pale kitandani ghafla nikasikia sautii ikisemaa.....
Itaendelea leo
Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile app
Shusha mzigoSEHEMU YA 12
****************************************
Maisha yangu ya kimapenzi na fetty yaliendelea kwa kasi ya ajabu mno moyoni nikawa nasema kuwa mimi na fetty hatutaweza kuachana kamwe nilijikuta nazidi kumpenda jini fetty licha kuwa nilijua sio binadamu ila upendo wake kwangu ulinidatisha sana, niliweza kukaa kwa muda mrefu pale ghorofani kwa fetty masaki pamoja na fetty na yule rafk ake fetty mwajabu sasa nakumbuka siku moja tupo tunapiga stori na mwajabu ikabidi nimuulize swali, mwajabu toka nimefahamiana na ww sijawahi kukuona na shemeji hau ndugu kuja kukutembelea hapa akacheka sana halafu akaniambia ndugu zangu hawataki kabisa kuja hapa, nikamuuliza kwann akasema washatambua kuwa fetty ni jini kwahyo wamenitenga kabisa japo wanaonipa sapoti na matumaini ni baba na mama tu ndugu wengine wamenitenga kisa fetty maneno yake yalinipa upole wa ghafla wa mwili nilikuwa namuhurumia akaendelea kusema usijali lakn shem basi siku hiyo ikawa imepita sasa nakumbuka nikiwa kama kawaida nipo na biashara zangu dukani pale kariakoo nilipigiwa simu na fetty akaniambia kuwa leo anaweza kwenda nyumbani kwao na atakaa mwezi mmoja huko alikuwa akiniaga huku ana majonzi nikamwambia mke wangu naona nije nikuage basi maana nitakumiss sana akasema sawa njoo ile amekata simu nilijikuta ghafla kama nimeyayushwa sipo lile eneo nililiokuwepo kariakoo najikuta nipo nyumbani tayari yaani ilichukua sekunde 5 umbali wa kutoka kariakoo wa mimi kufika masaki nilisema this is funny nilijua tu jini fetty kashafanya mautundu yake nilipanda ngazi hadi ndani nikamkuta fetty pale amekaa kwenye kochi nilimfuata na kumbusu nikamwambia aisee ww mwanamke kiboko leo umenipaisha kama ndege akawa anacheka tu, basi akaniambia anaenda nyumbani amepewa taarifa kuna mambo haypo sawa kwahyo atakaa huko mwezi mmoja aliniambia nisimamie vizuri duka la kule kariakoo pia akaniambia nisijechepuka nikamjibu siwezi kukusaliti mke wangu,
Sasa siku hiyo fetty akawa ameondoka kule kwao sasa maisha yakaendelea kama siku 2 hivi nakumbuka ulikuwa ni usiku nimetoka zangu kazini nipo sebureni nilikuwa naangalia muvi pale sasa shem mwajabu akawa amekuja pale nilipo tukawa tunapiga stori nipo pale sasa mwajabu alikuwa siku hiyo amevaa kanguo kafupi kweli ni mwanamke mzuri ambae hakuna mwanaume yoyote anaweza kuvumilia kumuona vile mwajabu bila kumtamani sasa nikajikuta tu nimeanza kummezea mate mwajabu nakumbuka sijui nn kiliendelea nilijikuta nipo kitandani na mwajabu rafk ake jini fetty tunafanya mapenzi mwajabu alikuwa ni mwanamke mtamu haswa na anaejua mapenzi mno sasa nakumbuka wakati tupo tunafanya mapenzi nilianza kusikia harufu kama ya udi ikitawala katika kile chumba ilikuwa ni udi mzito mno nikamwambia mwajabu nasikia harufu ya udi cha ajabu mwajabu akawa anasema mbona yeye hasikii kitu kilichonishangaza akaniambia tuendelee mimi bado basi tukawa tunaendelea na mapenzi pale oooh mwajabu alikuwa akigugumia kwa sauti ni mwanamke ambae alikuwa hajaguswa mda mrefu mno alikuwa akilia kwa utamu wa hali ya juu sasa wakati tupo pale kitandani ghafla nikasikia sautii ikisemaa.....
Itaendelea leo
Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile app
Shetani na majini ni kinyume cha Mungu na malaika. Nadhani hapo umepata jibu sasaNeno jini ni neno la kiarabu...na neno shetani pia ni neno la kiarabu , so kabla hujaja kukoroga mambo ni lazima ufuatilie maana sahihi kutoka katika lugha usika. Kwanini kunana neno Jini na kwann kuna neno Shetani, Je shetani ni nini na jini ni nini?
Napendekeza watu kama hawa wame wanapigwa bani.Uzi ndio ushatelekezwa hivyo........
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji856][emoji856][emoji856]Una roho ngumu unakula mzigo kwenye nyumba ya jini
Mtoto wa kiume anakuwa kama jike, eti mpaka wadau wambembeleze, aisee mimi ningekuwa mod hawa niwakupiga ban tuwewe jamaa ushakuwa jau sikuhiz... wadau wanakuvumilia tuh siku wakikukataa utajua upeleke wapi uzi wako