Siku niliyomwamini mke wangu

Ndoa ni kwaajili ya wanawake na WANAUME WAPUMBAVU.
 

Inawezekana aliliwa Huko huko kanisan
 
Kisa kizuri.Kimepangika na kuleta furaha katika kusoma.
Nimependa pale ulipoingia majanini kukwepa mwanga wa piki piki.
Sijui ungemwambia nini mkeo ungerudi ukakuta vibaka wamekuoneni nyote mkitoka na wakaingia ndani kuiba mpaka chupi zake.
 
Chakula cha baba paroko
 
Siku atakapopata mjanja WA kumuzibua sikio linguine Hilo la chini, kisasi Cha mwanamke kibaya sana ndg usijione mjanja
 
Kwa hapo ndiyo umeshajiaminisha kuwa hamegwi? Pole sana
 
Atakuwa anagongana na mchungaji kanisani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…