Siku njema kwa wanaume mnaojua kuhudumia wanawake zenu...mwanaume Mwenye uthubutu wa kumpa pesa mwanamke wako akafanye shopping za kununua vitu vyenye brand kubwa Og dunia pamoja na Kumpa pesa akatengeneze nywele ya Peruvian kwa aristotee pasipo kuja kulialia humu
Mungu abariki hustle zenu..na akaongeze mnapopunguza
Inaonekana wanaume wa Tanzania hatuwahudumii wabawake wety haiwezekani kuanzia mchangiaji wa kwanza wanalalamika suala moja tu.
Tujitathmini.
sio vizuri hivyo secret admirer, mngesubiri kwanza tumalize hili la mapishii [emoji53][emoji54][emoji52][emoji3][emoji23][emoji1][emoji1]Mmeanza kutusema kuhusu mapishi...nasisi tumerudisha kwenye jukumu lenu la kumpa pesa mwanamke.[emoji3][emoji3] ..crush
Tungesubiri mmalize tungekosa pa kujitetea crushsio vizuri hivyo secret admirer, mngesubiri kwanza tumalize hili la mapishii [emoji53][emoji54][emoji52][emoji3][emoji23][emoji1][emoji1]