Siku njema kwa wadada/wanawake mnaojua kupika

Siku njema kwa wadada/wanawake mnaojua kupika

Amen.
Siku njema kwa wanaume mnaojua kuhudumia wanawake zenu...mwanaume Mwenye uthubutu wa kumpa pesa mwanamke wako akafanye shopping za kununua vitu vyenye brand kubwa Og dunia pamoja na Kumpa pesa akatengeneze nywele ya Peruvian kwa aristotee pasipo kuja kulialia humu

Mungu abariki hustle zenu..na akaongeze mnapopunguza
 
Mmeanza kutusema kuhusu mapishi...nasisi tumerudisha kwenye jukumu lenu la kumpa pesa mwanamke.[emoji3][emoji3] ..crush
sio vizuri hivyo secret admirer, mngesubiri kwanza tumalize hili la mapishii [emoji53][emoji54][emoji52][emoji3][emoji23][emoji1][emoji1]
 
sio vizuri hivyo secret admirer, mngesubiri kwanza tumalize hili la mapishii [emoji53][emoji54][emoji52][emoji3][emoji23][emoji1][emoji1]
Tungesubiri mmalize tungekosa pa kujitetea crush
 
Sijuhi niseme nn maana mijianaume ya kitanzania ilivyo mibahili, Siku njema wanaume wabahili tz
 
Back
Top Bottom