johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Yeye Kawa taja kwa majina ni vema na wewe uwataje hao wengine watu wataendelea kujadili.Hakuna lolote, wapo wabobezi kuliko hao jamaa zako!
Mkuu, inawezekana aliyekujibu ni kati ya hao wanakzmatiYeye Kawa taja kwa majina ni vema na wewe uwataje hao wengine watu wataendelea kujadili.
Wataje ili wasaidie Taifa. Kwa vyovyote hawawezi kuwa hawa mburula waliouandaa huu mswada unaojadiliwa sasa.Hakuna lolote, wapo wabobezi kuliko hao jamaa zako!
Afadhali umetambua kuwa Chama Cha Mazezeta hamna vichwa. Mmejaza machawa ambao ni mzigo hawana akili ie Lucas mwashambwa kazi yake ni kusofia kila ujingaNdivyo inavyofanyika duniani kote hata hapo Kenya
Kwa sasa hapa Nchini Wanasheria wenye ubobezi kivitendo kwenye Siasa za Uchaguzi ni Tundu Antipas Lisu na Peter Kibatala hivyo Serikali isione kuwa ni dhambi kusaidiwa na Watu hawa
Kwa mfano huu mswada wa sheria za Uchaguzi unaojadiliwa Bunge limegeuka kuwa linakusanya maoni kama Tume ya Wariioba yaani mswada wote unatakiwa kufanyiwa overhaul
Mungu wa Mbinguni Uturehemu sisi
Hakuna lolote, wapo wabobezi kuliko hao jamaa zako!
Sasa Mbona Muswada hata babu Tale anaushangaa? ๐ผHakuna lolote, wapo wabobezi kuliko hao jamaa zako!
Lucas anatekeleza Masharti ya Mganga wake ili apate teuzi ๐Afadhali umetambua kuwa Chama Cha Mazezeta hamna vichwa. Mmejaza machawa ambao ni mzigo hawana akili ie Lucas mwashambwa kazi yake ni kusofia kila ujinga
Arudi tu kwa mganga akadai hela yake. Sasa kama huna connection wewe utaishia tu kusifu na kuabudu binadamu wenzako na uteuzi hupatiLucas anatekeleza Masharti ya Mganga wake ili apate teuzi ๐
Akina babu tale ndio wateule wa Hayati, alipenda watu wa aina ile wasio na hoja wala chochote akilini.Sasa Mbona Muswada hata babu Tale anaushangaa? ๐ผ
Kuna bunge gani wa kuelewa hayo mambo ya kisheria mle ndaniKwa mfano huu mswada wa sheria za Uchaguzi unaojadiliwa Bunge limegeuka kuwa linakusanya maoni kama Tume ya Wariioba yaani mswada wote unatakiwa kufanyiwa overhaul
Chenge ๐Na wewe wataje
Yes posho ziendelee kuchelewa uteme madiniNdivyo inavyofanyika duniani kote hata hapo Kenya
Kwa sasa hapa Nchini Wanasheria wenye ubobezi kivitendo kwenye Siasa za Uchaguzi ni Tundu Antipas Lisu na Peter Kibatala hivyo Serikali isione kuwa ni dhambi kusaidiwa na Watu hawa
Kwa mfano huu mswada wa sheria za Uchaguzi unaojadiliwa Bunge limegeuka kuwa linakusanya maoni kama Tume ya Wariioba yaani mswada wote unatakiwa kufanyiwa overhaul
Mungu wa Mbinguni Uturehemu sisi
YapCCM hawako tayari kwa hilo! Ukimuita Tundu Lissu ataenda kuvuruga kila kitu, na maslahi ya CCM yatakuwa hatarini!
Katiba mbovu na Tume isiyo Huru ndiyo moyo wa CCM!
Hata wewe usingekubali.
Taja wawili tuHakuna lolote, wapo wabobezi kuliko hao jamaa zako!
hili lijamaa Mbwaa wa Shamba aka Mwasambwanda nikalilima block zamani sana lipuuza sana...kuna wachache bado wanalifwatiliaAfadhali umetambua kuwa Chama Cha Mazezeta hamna vichwa. Mmejaza machawa ambao ni mzigo hawana akili ie Lucas mwashambwa kazi yake ni kusofia kila ujinga
Chenge ๐
Huwa najiuliza je kuna kiumbe kinachoweza kushindana na Dr Andrew Chenge katika uchambuzi wa kisheria pasipo kukariri.
Dr mwakyembe!