Pre GE2025 Siku nyingine Serikali inapotengeneza Miswada ya Sheria za Uchaguzi iwakodi Tundu Lissu na Kibatala Wawasaidie!

Pre GE2025 Siku nyingine Serikali inapotengeneza Miswada ya Sheria za Uchaguzi iwakodi Tundu Lissu na Kibatala Wawasaidie!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Chenge 😁
Huwa najiuliza je kuna kiumbe kinachoweza kushindana na Dr Andrew Chenge katika uchambuzi wa kisheria pasipo kukariri.
Dr mwakyembe!
Joka la makengeza amewekeza sana kwenye mapungufu ya Sheria Ili apige Hela za wajinga hajawahi kuwa na jambo jema Kwa tz na ukiona ametajwa popote jua manyoya ndo yamebaki ni kati ya watu hovyo kabisa ktk hii nchi
 
Ndivyo inavyofanyika duniani kote hata hapo Kenya

Kwa sasa hapa Nchini Wanasheria wenye ubobezi kivitendo kwenye Siasa za Uchaguzi ni Tundu Antipas Lisu na Peter Kibatala hivyo Serikali isione kuwa ni dhambi kusaidiwa na Watu hawa

Kwa mfano huu mswada wa sheria za Uchaguzi unaojadiliwa Bunge limegeuka kuwa linakusanya maoni kama Tume ya Wariioba yaani mswada wote unatakiwa kufanyiwa overhaul

Mungu wa Mbinguni Uturehemu sisi
Kenya Ina nini Cha maana wakati Rais anamtishia Mahakama na Mahakama inatishia Rais?

Wewe jikite kwenye mambo Yako ya Tzn ,mambo ya kikanda wewe ni mweupe hujui kitu.
 
Back
Top Bottom